Faida za limao au ndimu

Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya

Umuhimu wa limao au ndimu

1. Hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke au kiharusi

2. Hushusha presha ya damu

3. Huzuia kupata saratani

4. Huboresha afya ya ngozi

5. huzuia kupata pumu

6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma

7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini

8. Husaidia katika kupunguza uzito

9. Ni chanzo kizuri cha vitamini C

10. Limao Lina virutubisho Kama vitamin C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na magnesium

11. Hulinda mwili dhidi ya ugonjwa wa kiseyeye

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021-10-18     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1056

Post zifazofanana:-

Kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.
Post hii inahusu zaidi kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, hali hii utokea kwa watoto wadogo wakati wa kuzaliwa kwa sababu maalum kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nye Soma Zaidi...

Ugonjwa wa UTI
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI Soma Zaidi...

SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAA KWA MATE MDOMONI NA MATIBABU YAKE
Kutokwa na mate mengi mdomoni si ugojwa ni hali inayoweza kutokea kwa mtu yeyote. Mara nyingi hali hii haihitaji matibabu wa dawa, na huondoka yenyewe. Lakini hutokea baadhi ya nyakati ikawa mate yanatoka zaidi mdomoni. Je na wewe ni miongoni mwao? Makala Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu kazi za ini.
Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali. Soma Zaidi...

Faida za kula parachichi
Somo Hili linakwenda kukuletea faida za kula parachichi Soma Zaidi...

Upungufu wa vitamin
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin Soma Zaidi...

Umuhimu wa kupiga push up kiafya
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupiga push up kiafya, ni mambo au faida zipatikanazo ki afya kwa wapigaji wa push up kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Ujue ugonjwa wa tauni
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa tauni ambao kwa kitaalamu huitwa plague ni Ugonjwa unaosababishwa na wadudu ambao huitwa kitaalamu huitwa yersinia pestis ambao ukaa ndani ya panya. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa vitiligo, chanzo, dalili na matibabu yake
Katika post hii utajifunza kuhusu ugonjwa wa vitiligo, chanzo chake, dalili zake na matibabu yaje Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin B
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B Soma Zaidi...

Cheetah
Posti hii inakwenda kukupa sifa za mnyama cheetah Soma Zaidi...