Faida za majani ya mstafeli

Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.

Faida ya majani ya mstafeli.

1. Majani ya mstafeli usaidia kutibu saratani ya damu.

Hii ni aina ya saratani ambayo ushambulia damu na ni mojawapo ya saratani ambayo uua mtu kwa mda mfupi kama hakuna matibabu ya haraka kwa hiyo tunapaswa kutumia majani ya mti wa mstafeli ili kuweza kutibu tatizo hili.

 

2. Saratani ya matiti.

Kwa akina mama kuna tatizo kubwa la saratani ya aina hii yaani saratani ya matiti hasa kwa akina Mama ambao hawanyonyeshi upatwa sana na aina hiii ya saratani ya matiti kwa hiyo ni lazima kutumia majani ya mti wa mstafeli ili kuweza kupunguza aina hii ya saratani.

 

3. Saratani ya mlango wa kizazi.

Ni mojawapo ya saratani ambayo ushambulia mlango wa kizazi hii saratani imewakumba akina mama wengi na kuweza kusababisha hata wengine kushindwa kupata watoto kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mlango wa kizazi.

 

4. Saratani ya mapafu.

Hiii ni mojawapo ya saratani ambayo ushambulia sana mapafu na kuweza kusababisha matatizo katika kupumua kwa hiyo ni vizuri kutibu tatizo hili kwa kutumia majani ya mstafeli na mtu anaweza kupona kabisa na kurudia kwenye hali yake ya kawaida.

 

5. Saratani ya ini.

Hii ni aina ya saratani ambayo ushambulia inii kwa hiyo imo linaweza kushindwa kufanya kazi kwa hiyo ni lazima kabisa kutumia majani haya ya mstafeli ili kuweza kusaidia inn katika kufanya kazi yake vizuri ya kuchuja sumu.

 

6. Pia majani haya usaidia kwenye saratani ya mdomo.kuna wakati mwingine mdomo upatwa na matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kutumia majani ya mstafeli ili kuweza kuepuka matatizo ya kuwepo kwa saratani ya mdomo.

 

7. Kuwepo kwa saratani ya ulimi.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye ulimi na matibabu utolewa lakini matokeo hayawi mazuri kwa hiyo kunakuwepo na shida ya saratani kwenye ulimi.

 

8. Pia kuwepo kwa saratani ya kongosho.

Kwa wakati mwingine panakuwepo na matatizo mbalimbali kwenye kongosho kwa hiyo panakuwepo na matatizo kwenye ku control sukari hali inayosababisha kuwepo kwa saratani ya kongosho.

 

10. Pia saratani nyingine nyingi zinatibiwa na majani ya mstafeli kwa hiyo ni vizuri kabisa kabla ya kutumia unapaswa kupata matibabu kabisa na kugundua kama ni saratani kweli ndipo uweze kutumia dawa, usitumie dawa ya majani ya mstafeli bila vipimo kwaza, unapaswa kupima na baadae ndio utumie. Kwa hiyo kipindi kijacho nitafundisha namna ya kuandaa dawa hiyo 

 



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/07/12/Tuesday - 07:23:27 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3461


Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Vyakula na ugonjwa wa kisukari
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari Soma Zaidi...

Faida za kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga Soma Zaidi...

Vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin K
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K Soma Zaidi...

Madhara ya kula chakula chenye chumvi nyingi
Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula miwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa Soma Zaidi...

Faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa Soma Zaidi...

Faida za kula viazi mbatata
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata Soma Zaidi...

Vijuwe virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.
Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine. Soma Zaidi...

Orodha ya madini, chanzo chake na faida zake
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu orodha ya madini chanzo chake na faida zake Soma Zaidi...

Faida za biringanya/ eggplant
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant Soma Zaidi...

Faida za muarobaini
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za muarobaini Soma Zaidi...