image

Faida za mbegu za maboga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za maboga

Faida za mbegu za maboga

1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.

2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu

3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani

4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu

5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,

6. Hudhibiti kiwango cha sukari

7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa

8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo

9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume

10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1607


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Tabia na vyakula vya watu wa kundi AB
Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula wanavyopaswa kutumia watu wenye damu ya kundi AB Soma Zaidi...

Faida za mbegu za papai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za papai Soma Zaidi...

Nini hasa husababisha ugonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi
Sababu za maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi, nini ufanye na dalili za maumivu ya tumbo la chango Soma Zaidi...

Afya
Umuhimu was afya na Hindi ya kuitunza afya Soma Zaidi...

MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO: kuliwa kwa tishu, damu, ini na nyama, kuisha damu, kutapika,
MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika. Soma Zaidi...

Dawa za utbu Fangasi wa wenye ucha
Maala h nawenda kukufundisha matbabu ya utbu fangas wa wenye ucha. Soma Zaidi...

Dalili na Ishara za utasa kwa wanaume.
posti hii inaonyesha dalili na Ishara kuu ya utasa wa kiume ni kutokuwa na uwezo kumpa mwanamke ujauzito. Kunaweza kuwa hakuna dalili nyingine dhahiri. Soma Zaidi...

Ufahamu Ugonjwa wa macho Wa Glaucoma
Glaucoma Soma Zaidi...

Mafunzo ya Computer kwa Kiswahili
Utajifunza na kuelewa hata kama hauna computer kwa muda huo Soma Zaidi...

Ugonjwa wa chunusi
Posti hii inaonyesha dalili,sababu na matatizo ya chunusi Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa unaosababisha madhara kwenye mapafu
Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu Soma Zaidi...