Faida za mbegu za maboga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za maboga
Faida za mbegu za maboga
1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.
2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu
3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,
6. Hudhibiti kiwango cha sukari
7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo
9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume
10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 ai web app 👉5 web hosting 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO: kuliwa kwa tishu, damu, ini na nyama, kuisha damu, kutapika,
MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika.
Soma Zaidi...Kivimba kwa neva ya macho
kuvimba kwa neva ya macho, fungu la nyuzi za neva ambazo hupitisha taarifa za kuona kutoka kwa jicho lako hadi kwenye ubongo wako. Maumivu na kupoteza maono kwa muda ni dalili za kawaida za kivimba kwa neva ya macho ambayo kitaalamu huitwa neuritis ya o
Soma Zaidi...Tabia na vyakula vya kundi B.
Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula vya watu wa kundi B,hawa ni watu wenye sifa za pekee na wanapaswa kupata vyakula vyao kama tutakavyoona hapo baadaye.
Soma Zaidi...Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo.
Posti hii inahusu zaidi jeraha kwenye ubongo hasahasa jeraha la kawaida yaani lisilokuwa kali, ni jeraha ambalo utokana na ajali au kupigwa na kitu chochote kwenye kichwa, zifuatazo ni dalili za jeraha lisilokuwa la kawaida kwenye ubongo.
Soma Zaidi...Namna ya kuandaa mbegu za parachichi kwa matumizi ya dawa.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.
Soma Zaidi...Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa ?
Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa nini tatizo lake?
Soma Zaidi...