Faida za mchaichai/ lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai

Faida za mchaichai

Majani haya hutumiwa Kama mbadala wa majani ya chai, yana harufu nzuri na rangi ya kuvutia pindi yatumiwapo kama majani ya chai

1. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

2. Mchaichai una virutubisho Kama vitamin C na A pia una madini mengi

3. Hutumika Kama dawa ya kukosa choo, tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa

4. Hutumika kutoa sumu mwilini

5. Hudhibiti presha ya damu na kuishusha

6. Husaidia kusafisha ini

7. Huboresha afya ya moyo

8. Husaidia katika uunguzwaji wa fati na mafuta mwilini

9. Huboresha na kuimarisha afya ya ngozi na nywele

10. Hutibu mafua na homa ya mafua

11. Huzuia maumivu ya chango kwa wakina mama

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 5450

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi

Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula korosho

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho

Soma Zaidi...
Faida za kula viazi mbatata

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

Soma Zaidi...
Sio salama kwa mtoto wa umri chini ya mwaka mmoja kupewa asali

Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?

Soma Zaidi...
Vyakula salama na vilivyo hatari kwa mwenye kisukari, na vipi atajikinga na kisukari

Makala hii inakwenda kukupa elimu juu ya vyakula na vinywaji vilivyo salama kwa mtu mwenye kisukari, na ni vyakula vipi ni hatari kwa mwenye kisukari. Pia utajifunza njia za kujilinda na kupata kisukari.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula pera

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera

Soma Zaidi...
Virutubisho vya mwili

Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...