Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Faida za mchaichai
Majani haya hutumiwa Kama mbadala wa majani ya chai, yana harufu nzuri na rangi ya kuvutia pindi yatumiwapo kama majani ya chai
1. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
2. Mchaichai una virutubisho Kama vitamin C na A pia una madini mengi
3. Hutumika Kama dawa ya kukosa choo, tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4. Hutumika kutoa sumu mwilini
5. Hudhibiti presha ya damu na kuishusha
6. Husaidia kusafisha ini
7. Huboresha afya ya moyo
8. Husaidia katika uunguzwaji wa fati na mafuta mwilini
9. Huboresha na kuimarisha afya ya ngozi na nywele
10. Hutibu mafua na homa ya mafua
11. Huzuia maumivu ya chango kwa wakina mama
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 4657
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 Kitau cha Fiqh
Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini
vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu Soma Zaidi...
HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI
Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean. Soma Zaidi...
FAIDA ZA MATUNDA MBALIMBALI
1. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass Soma Zaidi...
Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini Soma Zaidi...
Faida za kula Palachichi
Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Tikiti
Soma Zaidi...
Faida za kula ndizi
Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula viazi vitamu
Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fenesi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula korosho
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho Soma Zaidi...