Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

FAIDA ZA MCHAICHAI/ LEMONGRASS


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai


Faida za mchaichai

Majani haya hutumiwa Kama mbadala wa majani ya chai, yana harufu nzuri na rangi ya kuvutia pindi yatumiwapo kama majani ya chai

1. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

2. Mchaichai una virutubisho Kama vitamin C na A pia una madini mengi

3. Hutumika Kama dawa ya kukosa choo, tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa

4. Hutumika kutoa sumu mwilini

5. Hudhibiti presha ya damu na kuishusha

6. Husaidia kusafisha ini

7. Huboresha afya ya moyo

8. Husaidia katika uunguzwaji wa fati na mafuta mwilini

9. Huboresha na kuimarisha afya ya ngozi na nywele

10. Hutibu mafua na homa ya mafua

11. Huzuia maumivu ya chango kwa wakina mama



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    5 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Bongoclass Tags AFYA , vyakula , ALL , Tarehe 2021-10-22     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 3864



Post Nyingine


image Faida za kiafya za kula miwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa Soma Zaidi...

image Athari za kula vitamin C kupitiliza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza Soma Zaidi...

image Nini maana ya protini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini Soma Zaidi...

image Faida za kitunguu thaumu
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu Soma Zaidi...

image Vijuwe vyakula vya madini na kazi za madini mwilini
Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini Soma Zaidi...

image Faida za kunywa maziwa
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kunywa maziwa kiafya Soma Zaidi...

image Faida za mchai chai
Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai. Soma Zaidi...

image Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali
Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu. Soma Zaidi...

image Virutubisho vya mwili
Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu. Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage Soma Zaidi...