Faida za minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo

 

FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO

Wakati mwingine kuwa na aina flani ya minyoo kunaweza kuwa na faida katika afya. Lakini si kila minyoo wana faida hizi. Kribia minyoo wote wanamadhara kiafya kama tulivyoona hapo juu. Sasa hebu kwa ufupi zitambue baadhi tu ya faida za minyoo;-

 

 

 

minyoo wanaweza kusaidia kwa wanawake kuchochea kupata ujauzito

Kulingana na tafiti iliyofanya na mwana biolojia anayetambulika kama Aaron Blackwell kutoka chuo kikuu cha (University of California), Santa Barbara. Amefanyia tafiti wanawake 1000 katika kijiji cha Bolvia kwa muda wa miaka tisa.

 

 

 

Katika tafiti yake aligundua kuwa wanawake ambao hawakutumia uzazi wa mpango wana wastani wa watoto tisa kwa kila mmoja. Aligundua kuwa wanawake wenye aina ya minyoo inayotambulika kama helmith wanapata ujauzito mapema kuliko wengine.

 

 

 

huweza kupunguza alegi (allegy)

Kuna watu wanaaleji na vitu mbalimbali ikiwemo madawa, vinywaji ama vyakula. Mtafiti aliyetambulika kwa jina la John Turton alikuwa ni raia wa Uingereza na alihusika katika baraza la kufanya tafiti za kiafya.

 

 

 

Mnamo mwaka 1970 alikuwa na aleji kali sana. Hivyo akajiathiri kwa kujiwekea minyoo aina ya hookworm. Baadaye akajakutoa taarifa kuwa aleji zake zimepungua kwa miaka miwili yote ambayo minyoo ile ilikuwa tumboni mwake.

 

 

 

minyoo wanaweza kusaidia katika kupona kwa vidonda.

Minyoo aina ya liver fluke ambao wanaishi kwenye ini wanazalisha homoni inayoitwa granulin. Watu ambao wana minyoo hii wapo hatarini sana katika kupata saratani ya kifuko cha nyongo (bile duct cancer). wakati ambao minyoo hawa wanakula ini kuna vidonda hutokea, hivyo wanavitibu wenyewe vidonda hivi.

 

 

 

 

 

MWISHO

Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi. Kwani unaweza kutumia dawa lakini za minyoo bila ya kujuwa ni aina gani ya minyoo unapambana nayo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1510

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za seli

Posti hii inahusu zaidi faida za seli. Seli ni chembechembe hai za mwili ambazo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Upungufu wa damu mwilini

Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.

Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kupoteza fahamu.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kupoteza fahamu, ni sababu ambazo umfanya mtu kupoteza fahamu kwa sababu mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Kazi za mifupa mwilinj

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa mifupa mwilini, mifupa ni mojawapo ya tushy zilizounganika na ufanya kazi kubwa kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.

Soma Zaidi...
Kazi ya madini mwilini

Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza uzito na kitambi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi

Soma Zaidi...