Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.
1. Vidonge hivi huwa na madini ya calcium,zink, magnesium,amino asidi na selenium.
2. Uimarisha mifupa mishipa na meno.
Ufanya kazi hizi kwa sababu ya kuwepo kwa madini ya calcium.
3. Usaidia kwa ukuaji wa watoto, kuanzia tumboni mwa mama yake na pia kwa sababu ya matumizi ya mans yake mtoto anaweza kupata akiwa ananyonya
4.Uzuia uchakavu na uaribifu wa mifupa.
Kwa sababu ya kuwepo kwa madini mbalimbali hasa calcium, zink na magnesium kwa hiyo usaidia katika uchakavu wa mishipa.
5. Usaidia katika ufanisi wa misuri na kukata kwa Damu.
Kwa sababu ya kuwepo kwa madini mbalimbali nayo pia usaidia katika ufanisi wa misuri na kukata kwa damu.
6. Inapunguza kuzeeka mapema.
Kwa sababu ya mchango mkubwa wa calcium, mchango wa zink, magnesium , amino asidi usaidia sana katika kupunguza kiwango cha kuzeeka mapema.
7. Pia uzuia kiwango cha mimba kuharibika.
Kwa sababu ya kuwepo kwa magnesium,zink na mengine ndani ya zamiconal usaidia sana katika kuzuia kuharibika kwa mimba.
8. Kuwepo kwa kinga ya mwili.
Kwa sababu vidonge hivyo vina madini mbalimbali usaidia sana kwenye kinga ya mwili.
9. Usaidia vile vile kwenye matibabu ya kulegea kwa kizazi, kuna akina mama wengine wenye ushuhuda kwamba vidonge hivi usaidia katika kutibu matatizo ya kulegea kwa kizazi.
10. Pia vidonge hivi usaidia kwa wanaume wengi wenye tatizo la kuwepo kwa mbegu zisizo imara.
Kwa hiyo usaidia katika kuboresha mbegu za kiume.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol
Soma Zaidi...Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.
Soma Zaidi...