Mafungu ya urithi yaliyotajwa katika haya sita yafutayo:1.
Mafungu ya urithi yaliyotajwa katika haya sita yafutayo:
1.Nusu (1/2)
        2.Robo (1/4)
        3.Thuluthi. (1/3)
        4.Thuluthi mbili (2/3) 5.Sudusi. (1/6)
        6.Thumuni (1/8)
Mwenye kupewa mafungu
Katika warithi kuna wenye kupata mafungu maalum katika hayo mafungu sita; na kuna wasiokuwa na mafungu maalum ambao hupata kilichobakia baada ya wenye mafungu kuchukua mafungu yao au kupata mali yote ikiwa hapana wenye mafungu. Wasio na mafungu huitwa asaba.
        Wenye mafungu maalum katika urithi ni watu kumi na na mbili (12) wafuatao:
        I .Baba.
        2.Babu.
        3.Binti. 4.Binti wa mtoto mwanamume (mjukuu).
        5.Ndugu wa kwa mama.
        6. Dada wa kwa baba na mama.
        7.Dada wa kwa baba.
        8.Dada wa kwa mama.
        9.Mama.
        1O.Bibi.
        11.Mume.
        12. Mke.
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutawadha kama vile ambavyo alitawadha Mtume
Soma Zaidi...Kustawi kwa Kampeni ya Kudhibiti UzaziMiongoni mwa sababu zilizosaidia kustawi kwa kampeni hii ni matokeo ya mapinduzi ya viwanda (Industrial revolution) ya huko Ulaya.
Soma Zaidi...Kwenye kipengele hiki tutajifunza maana ya swala ni nin?. Na masharti ya swala.
Soma Zaidi...Vipi lengo la funga litafikiwa na kumfanya mfungaji awe mchamungu.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza jinsi ya kuswali swala ya witiri na faida zake kwa mwenye kuiswali.
Soma Zaidi...