image

Chemsha bongo namba 03

Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI?

Chemsha bongo namba 03

news: Jiunge Maktaba

Chemsha bongo 02

imageimage Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Mnamo mwaka 2006 Mwalimu wa Geography aliuliwa siku ta kufungua shule, majira ya jioni mwezi wa kwanza. Miongoni mwa watuhumiwa walokamatwa ni Mwalimu mkuu, Mwalimu wa zamu na mwalimu wa hisabati.

Askari walipowauliza vyema mwalimu mkuu akasema yeye alikuwa ofisinu muda wote. Mwalimu wa hisabati aliseme yeye alikuwa anasimamia mtihani wa robo muhula darasani. Mwalimu wa zamu alisema yeyea alikuwa akiandaa ripoti ya siku pamoja na kuandaa masomo ya kufundisha kesho.

Baada ya upelelezi kulingana na maelezo ya watuhumiwa hawa watatu. Hatimaye Mwalimu wa hisabati alitiwa mbazoni na hatia ya mauaji. Je unadhani ni kwa nini askari walimtia hatia mwalimu wa hisabati?

Jibu
Kulingana na maelezo ya mwalimu wa Hisabati yanaonekana sio sahihi. Haiwezekani siku ya kufungua shule aweze kusimamia mtihani wa robo muhula ambao unatakiwa ufanyike mwezi wa tatu. Mwalimu wa hesabau amejichanganya maelezo. Huenda kuna jambo analificha hapa.


                   



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 311


Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Chemsha bongo namba 19
Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 23
18. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 26
19. Soma Zaidi...

KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI
Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani? Soma Zaidi...

SIRI
Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 22
4. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 04
14. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 21
15. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 06
25. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 20
17. Soma Zaidi...

game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...