15.
15.Ngozi yangu
Hata ukinitowa ngozi yangu silii ng’o. na vinginevyo utalia mwenyewe. Je! Mimi ni nani?
Jibu
Kitunguu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba).
Soma Zaidi...