HABARI ZA LEO NDUGU ZANGU MIMI NI DALILI ZIPI HASA ZA AWALI ZINAZOASHIRIA UMEAMBUKIZWA UKIMWI


image


Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI


Habari za leo ndugu zangu mimi ni (Jina limehifadhiwa)  ninataka kujua ni dalili zipi hasa za awali zinazoashiria umeambukizwa ukimwi. 

 

Jibu

Ni vizuri kwanza upate vipimo,  ama uonane na mhudumu wa afya upate kujifunza kuhusu afya yako.

 

Dalili za awali za kuambukizwa virusi vya ukimwi zinafanana na dalili ya maradhi mengineyo hivyo unawwza kuona dalili hizi kumbe ni maradhi mengine tu. 

 

Dalili za awali ni kama: 

1. Maumivu ya kichwa

2. Kuvimba kwa tezi za kwapa, mtoki na shingoni

3. Mafua na homa

4. Kupatwa na vipele

5. Uchovu wa mwili

 

Dalili hizi hutokea wiki ya pili hadi ya sita toka kuambukizwa na hazitarudi tena baada ya hapo. Kama utakuwa umeambukizwa virusi vitaendeleabkuathiri kinga ya mwili kimya kimya bila ya kuonyesha dalili yeyote kwa muda wa miaka kadhaa. 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    4 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    5 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya php    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Yajue maambukizi kwenye epididimisi kwa kitaalamu huitwa (Epididymitis)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi. Soma Zaidi...

image Dalili za tonsillitis (mafindo mafindo)
Tonsillitis kwa kiswahili hujulikana kama mafundomafundo ambayo hutokea pande mbili karibu na Koo na huwa na uvimbe na zikikaa kwa muda bila matibabu hutoa usaha.Dalili na dalili za ugonjwa wa tonsillitis ni pamoja na Soma Zaidi...

image Namna ya kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo
Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo. Soma Zaidi...

image Samahan naomb kujua staili za tendo la ndoa
Post hii inakwenda kujibu swali la muulizaji. Kuhusu syyle za tendo la ndoa Soma Zaidi...

image Matatizo ya unene kwa watoto (childhood obesity)
post Ina onyesha madhara na matatizo ya Unene Utoto ni hali mbaya ya kiafya inayoathiri watoto na vijana. Inatokea wakati mtoto yuko juu ya uzito wa kawaida kwa umri na urefu wake Soma Zaidi...

image Dalili za saratani ya damu au uboho.
posti hii inahusu dalili za aratani ya damu au ubobo ambayo kwa jina lingine hujulikana Kama Acute lymphocytic Leukemia (ALL) ni aina ya Saratani ya damu na uboho tishu zenye sponji ndani ya mifupa ambapo seli za damu hutengenezwa. Soma Zaidi...

image Je mwanamke anaweza pata mimba ikiwa wakati watendo la ndoa hakukojoa Wala kusikia raha yoyote ya sex wakati watendo landoa
Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako. Soma Zaidi...

image Zijue sababu za kushindwa kushuka kwa makende (testicle))
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kushindwa kushuka kwa makende kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye skolatumu(scrotum). Soma Zaidi...

image Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua
Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic anapaswa kuenda na mwenza wake wakapime Kama wote ni wazima au sio wazima Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa kisonono
Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi. Soma Zaidi...