HADITHI YA PILI: SIFA ZA MUUMINI WA KWELI


image


Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)


  • Hadith ya Pili: Sifa za Muumini wa kweli.

 

Kutoka kwa Ibn Umar (r.a) amesema: Kasema mjumbe wa Mwenyezi Mungu; 

“Muislamu wa kweli ni yule wanaosalimika Waislamu kutokana na (maudhi) ya ulimi wake na mkono wake. Na muumini wa kweli ni yule wanaomuaminisha watu juu ya damu zao na mali zao.”

(Muttafaqun Alayhi)

 

Mafunzo ya Hadith kwa Ufupi:

  1. Haifai kuwaudhi, kuwafitinisha, n.k. waislamu, wanaadamu wengine pamoja viumbe kwa ujumla.
  2. Miongoni mwa maudhi ya ulimi ni kusengenya, kukejeli, kufitinisha, kupigana, kudhulumu na kuitanana majina mabaya.
  3. Uislamu ni dini ya mapenzi, huruma, kusaidiana na kushirikiana.
  4. Muumini wa kweli ni muaminifu kwa kila anachosema na kutenda pia.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    5 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Msimamo wa uislamu juu ya utumwa
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mafunzo yatokanayo na maandalizi ya mtume ki-wahay
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Suratul-takaathur (102) imeteremshwa makkah Ina aya nane
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Maswali kuhusu njia za kumjua mwenyezi Mungu
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu Soma Zaidi...

image Haki za binadamu kwa ujumla (basic human rights)
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Lengo la kushushwa vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Malezi ya mtume
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kuamini siku ya mwisho
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu Soma Zaidi...

image Haki za nafsi
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Wanaowajibika kuhijji
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...