HALI AMBAZO MTU AKIOMBA DUA ITAJIBIWA.
HALI AMBAZO MTU AKIOMBA DUA ITAJIBIWA.
1.Dua ya kumuombea aliye mbali. Chukulia mfano una ndugu yako yupo nchi nyingine ama mji mwingine kisha ukamkumbuka na ukataka kumuombea dua, basi dua hii itajibiwa tu. Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema โhakika dua iliyo nyepesi (na haraka ) kujibiwa ni dua ya mtu kumuombea aliye mbaliโ (amepokea Abuu Daud na Tirmidh kwa isnad sahihi). Pia amesimulia Abuu Dardaa ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema โdua ya mtu muislamu ni yenye kujibiwa anapomuombea ndugu yake aliye mbali. Juu ya kichwa chake kuna Malaika anaitikia โaamiinโ na wewe upate mfano wa wakeโ. (amepokea Ahmd na Muslim).
2.Dua ya mzazi, msafiri na mwenye kudhulumiwa. Hali za watu watatu hawa wakiomba dua Allah atajibu dua zao bila ya shaka. Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema
โ "โ ุซููุงูุซู ุฏูุนูููุงุชู ููุณูุชูุฌูุงุจู ููููููู ูุงู ุดูููู ูููููููู ุฏูุนูููุฉู ุงููู
ูุธููููู
ู ููุฏูุนูููุฉู ุงููู
ูุณูุงููุฑู ููุฏูุนูููุฉู ุงููููุงููุฏู ููููููุฏููู
3.โdua za watu watatu (hawa) ni zenye kujibiwa na hakuna shaka juu ya hili: dua ya mzazi, msafiri na mwenye kudhulumiwaโ. (amepokea Abuu Daud, Ahmad na Tirmidh kwa sanad sahihi).
4.Dua ya mwenye swaum (funga), imamu muadilifu, na mwenye kudhulumiwa. Watu hawa dua zao zitajibiwa tu, kingozi muadilifu, mtu aliyekuwa kwenye funga na kabla hajafuturu na mtu aliyedhulumiwa. Amesema Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
watu watatu dua zao hazirudi: mwenye funga mpaka afutauru, imamu muadilifu (kiongozi muadilifu), na mwenye kudhulumiwa.โฆโฆ.โ (amepokea tirmidh kwa isnad sahihi).
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
ุนููู ุฃูุจูู ู ูุญูู ููุฏู ุงููุญูุณููู ุจููู ุนูููููู ุจููู ุฃูุจูู ุทูุงููุจู ุณูุจูุทู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู ููุฑูููุญูุงููุชููู ุฑูุถููู ุงููู...
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukupa orodha ya dua 10 ambazo unaweza kuziomba kila siku.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukugundisha dua ambazo itazitumia katika swala yako.
Soma Zaidi...Hii ni hadithi ya pili katika kitabu cha Arbain Nawawiy
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Soma dua mbalimbali za kila siku ambazo unatakiwa uzijuwe. Dua 120 ambazo muislamu anatakiwa kuzijua
Soma Zaidi...