image

Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 4)

Posti hii inaendelea kuelezea hasara za kuwepo kwa wivu na kutokuwa wazi katika, jamii inafikia wakati baba anapifahamu ukweli anawaita wazazi wawili na kuwaombeza kwa kuwa kimya baada ya kuona matatizo yaliyokuwa yanampata mtoto Lisa.

Hasara za kutokuwa wazi.

1. Basi mtoto Lisa baada ya kufaulu mtihani wa darasa la saba kwa kusaidiwa na ushauri wa mwalimu yule kijana lakini anatoa ushauri ili mtoto atulie naye aje apate kitu kutoka kwa Lisa pia na pesa alizokuwa anapatiwa na baba Lisa, kwa hiyo baada ya Lisa kupata matokeo siku moja alikaa na yule kijana mlezi wake wakawa wanaongea akamwuliza kwa nini alikuwa anafeli yule kijana akaelezwa kila kitu na Lisa aliumia sana kuona kwamba hakupata msaada wowote kutoka kwa lina kwa sababu lina alificha maovu yake na pia alisikitika kuona kwamba mama yake mzazi alifahamu kabisa tatizo lake na hakumsaidia pia aliumia sana kuona yule mwalimu analetwa nyumbani na pia mama yake wa kambo aliona jinsi nilivyotembea na yule mwalimu hakusema kitu ila alimshukuru mwalimu kwamba hakumbebesha mimba alipomaliza kusema hayo akalia sana na hapo baba yake akatokea akamwuliza binti yake na binti akasimulia kila kitu,baba akaumia mno.

 

 

 

 

 

 

2. Baada ya baba Lisa kusikia hayo aliumia sana akaenda nyumbani akaongea na mke wake kuhusu mtoto Lisa kwamba amefaulu vizuri ila anataka kumpeleka akasoma mbali ili kuepuka na udanganyifu a yule mama kwa sababu alikuwa mnafiki alikubali hilo na akajaribu kumpeleleza mme wake kuhusu shule na nchi atakayompleleka mwanae hakufanikiwa kuijua, lakini mwanamke ni mwanamke wa hivyo alipeleleza mpaka akafahamu shule na nchi, kwa hiyo lengo la mama wa kambo wa Lisa ni kuhakikisha yule mtoto anaharibikiwa na kwa sababu yule mama wa kambo wa Lisa alikuwa na pesa akaamua kumsaidia mama yake na lina kutoka shule za serikali na kumpeleka kwenye shule anayoenda kusoma Lisa.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

3. Basi kwa sababu  kwa sababu lina alishafaulu na kwenda kusoma shule za serikali na huko kingereza kilikuwa shida na kusoma kulikuwa ni kwa shida sana kwa hiyo Lisa alikuwa na uzoefu kuhusu mapenzi na alijua kwamba yaliyoathiri masomo yake kwa hiyo alienda shuleni kusoma kweli na alishajua kwamba watu sio wema hata kidogo, kwa hiyo aliandaliwa na mlezi wake na baba yake na pia mama mzazi alitaarifiwa kuhusu hilo kwa hiyo alienda kananda na alikuwa na hamu ya kusoma kwa hiyo na baada ya siku na lina akaenda pale shule akamkuta Lisa kwa sababu Lisa alikuwa na uzoefu wa maisha alimkaribisha vizuri na kumwonyesha mazingira, kwa hiyo kipindi cha masomo kilipofika lina alishangaa kuona Lisa yuko makini na pia anapiga kingereza kama nini na hayupo kabisa kwenye mahusiano,lina alitaka kuchanganyikiwa hakuamini macho yake.

 

 

 

 

 

4. Kwa hiyo maisha ya lina yakawa magumu shuleni kwa sababu kingereza hakijui, na anasumbuliwa na wavulana wengi na hana jinsi ya kuwakwepa kama lisa na pia kazi alivyoandaliwa kufanya ya kuhakikisha kwamba Lisa anapotezwa kabisa anaona hawezi, basi wakafanya mtihani wa kwanza Lisa akawa wa pili lina akae wa pili kutoka mwishoni, kwa hiyo lina aliumia mno kuona kwamba Lisa yuko vizuri, pia Lisa alituma matokeo nyumbani kwa baba ,mama na kaka yake mlezi hawakuamini ila kaka yake mlezi akaendelea kumshauri Ili aendelee kukazana na pia baba Lisa alifurahi na baada ya siku yule mama wa kamabo wa Lisa akafahamu matokeo ya Lisa ukiangalia ya Lina aliumia mno.

 

 

 

 

 

 

5. Siku zikaendelea wakafika form four na bado Lisa ana msimamo wake na anafanya vizuri sana darasani na akiwa na nidhamu ya kutosha ila Lina anakuwa wa mwisho na anadumbuliwa na wanaume wengi na hatimaye akawa Mjamzito na ikabidi afukuzwe shule, ila Lisa aliumia sana kuona mwenzake anafumizwa shule, kwa sababu Lisa alikuwa kilanja na mwangalizi wa makazi aliamua kumsaidia mwenzake kwa kumpa chumba kimoja kusudi ajifungue ila akimaliza kujifungua aendelee na shule , ingawa Lisa alikuwa anamfanyia Lisa vizuri ila alipokuwa anakumbuka alivyofanyiwa aliumia sana, ila mlezi wake alikuwa anamhakikishia kuwa atende mema kwa waliomkosea.

 

 

 

 

 

 

6. Kwa hiyo baada ya shule kumalizika Lisa alichsguliwa kwendelea naasomo ya mbele na kwa sababu alikuwa na akili alichaguliwa kusomeshwa na shule, ila Lisa alirudi nyumbani akiwa na mtoto bile cheti, mama yake alipomwona aliumia mna akaanza kulia na kumwoba  mama lissa,messamaha

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 5670


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Post hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mitihani inaisha na wanaanza kuhukumiwa mmoja baada ya mwingine. Soma Zaidi...

Usichofahamu kuhusu mazoezi
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi. Soma Zaidi...

Chemsha bongo na bongoclass
Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi. Soma Zaidi...

Mtoto wa tajiri na maskini (sehemu ya pili)
Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto. Soma Zaidi...

Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 3)
Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni yanakuwa mabaya zaidi na lina anaendelea kumtunzia siri lengo lake lina ni kuendelea kuwa wa kwanza darasani. Soma Zaidi...

WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1
Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao. Soma Zaidi...

WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 2
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki. Soma Zaidi...

SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI (sehemu ya sita)
Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI part 1
Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku Soma Zaidi...