Hatua mbili kuu za kushuka kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
QUR’AN
5.1 Kushuka Qur’an.
- Hatua mbili kuu za kushuka Qur’an;
- Kushuka kwa jumla kutoka Lawhi-Mmahfuudh hadi mbingu ya Dunia.
- Kushuka kigodo kidogo kutoka mbingu ya Dunia kwenda kwa Mtume (s.a.w).
- Qur’an ilianza kushuka mnamo mwaka 610 A.D, Mtume (s.a.w) akiwa na umri wa miaka 40.
- Qur’an ilikamilika kushuka kwa muda wa miaka 23 sehemu kidogo kidogo.
Rejea Qur’an (97:1), (2:185), (44:3).
- Hekima ya Qur’an kushuka hatua kwa hatua;
- Ni kujibu hoja mbali mbali zilizotolewa na zilihitajia majibu ya kiwahyi.
- Ni kuwezesha utekelezaji wa maamrisho yake kuwa rahisi au mwepesi.
- Ili iwe rahisi kuhifadhika katika mioyo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Dua za Mitume na Manabii π2 Madrasa kiganjani π3 Kitau cha Fiqh π4 Bongolite - Game zone - Play free game π5 Kitabu cha Afya π6 Simulizi za Hadithi Audio
π1 Dua za Mitume na Manabii π2 Madrasa kiganjani π3 Kitau cha Fiqh π4 Bongolite - Game zone - Play free game π5 Kitabu cha Afya π6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Yusufu(a.s)
βKwa yakini katika (kisa cha) Yusufu na ndugu zake yako mazingatio mengi kwa wanaouliza (mambo wapate kujua)β.
Soma Zaidi...vita vya ahzab, sababu ya kutokea vita hivi na mafunzo tunayoyapata
Vita vya Ahzab- Maquraish waliungana na mayahudi, wanafiki na makabila mengine ya waarabu baada ya kuona kuwa wao peke yao hawawezi kuufuta Uislamu.
Soma Zaidi...Mbinu za Daβwah Alizotumia Nuhu(a.s)
Katika kufikisha ujumbe huu kwa watu wake Nuhu(a.
Soma Zaidi...