HATUA SABA ZA KUTIBU AU KUEPUKA UVIMBE KWENYE KIZAZI


image


Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.


Hatua Saba za kuepuka kupata uvimbe au kutibu uvimbe kwenye kizazi.

1. Epuka vyakula ambavyo vinasababisha kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Kuna vyakula ambavyo upelekea kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi kwa mfano vyakula vyenye mafuta mengi kwa mfano bagga,sousage, daima kula nyama ya Mnyama anayekula nyasi na epuka kula Nyama ya myama anayekula chakula kama binadamu.

 

2. Daima tumia vyakula vinavyopunguza tatizo.

Kwa kawaida epuka sana vyakula vinavyopunguza tatizo kwa mfano mboga mbona za majani kwa sababu ya kuwepo kwa vitamin K ambavyo uzuia  damu kuganda,n uwepo wa vitamin Ambavyo usaidia kuzalishwa kwa seli nyingine.

 

3. Tumia virutubisho kwa ajili ya kupunguza uvimbe.

Kuna virutubisho ambavyo usaidia kwa ajili ya kupunguza uvimbe kwa mfano mafuta ya samaki ,mafuta ya flaxseed, kijiko kimoja kwa siku kwa hiyo upunguza uvimbe kwenye kizazi na kuzuia uvimbe na matumizi ya dawa kama vile ZAMISOCAL urekebisha kiwango cha homoni aina ya estrogen.

 

4. Utumiaji wa chai tiba.

 Kwa kutumia chai tiba kwa kitaalamu huitwa herbal coffee usaidia sana katika kutibu uvimbe na Kuna dawa nyingine ambazo usaidia kutibu uvimbe kwenye kizazi.

 

5. Matumizi ya dawa za Castrol.

 Dawa aina ya Castrol usaidia kuongeza usafirishaji wa damu na hivyo kutoa Sumu mwilini, kwa hiyo Sumu mwilini ikitokea usababisha hali kuwa ya kawaida.

 

6. Kujiepusha na mazingira hatarishi na yenye Sumu Kuna mazingira mengine yenye Sumu kama vile dawa za kuua wadudu, na matumizi mengine yenye kemikali.

 

7. Kuwepo kwa mazoezi ya kutosha.

Mazoezi mengine ya kutosha usaidia Sana katika kuruhusu damu kusafiri na pia kutoa Sumu mwilini. Kwa hiyo ni vizuri kufanya kufanya usafi mara tatu kwa siku.

 

8. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kujua Dalili na wakati ambapo uvimbe unaweza kutokea Ili kuweza kutibu tatizo nakujiepusha na mambo mengine ambayo yanaweza kuleta matatizo mbalimbali kwenye mfumo mzima wa uzazi.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    4 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    5 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    6 Maktaba ya vitabu    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Endapo nina dalili za mimba na nikipima sina mimba, je, tatizo ni nini?
dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba. Soma Zaidi...

image Sababu za kupasuka kwa mfuko wa kizazi
Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua. Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia mimba zisiharibike.
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibika kwa kufuata njia zifuatazo. Soma Zaidi...

image Napenda kuuliza mke wangu anamuda wa wiki moja . tumbo na maziwa vinauma je dalili hizo zinawekuwa ni ujauzito...?
Maumivu ya tumbo kwa mjamzito huweza kuanaa kuonekana mwanzoni kabisa mwaujauzito, ndani ya mwezi mmoja. Ikabidi si dalili pekee ya kuwa ni mjamzito. Soma Zaidi...

image Kazi ya homoni ya testosterone
Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote. Soma Zaidi...

image Namna ya kutibu ugumba kwa Mwanaume.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume. Soma Zaidi...

image Madhara kwa wasiofanya mazoezi
Posti hii inahusu zaidi madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa watu wasiofanya mazoezi, mazoezi ni kama tiba kwa namna Moja au nyingine ila Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale ambao hawafanyi mazoezi. Soma Zaidi...

image Namna ya kuangalia kama mtoto aliyezaliwa anapumua
Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuangalia kama mtoto anapumua pindi anapozaliwa,tunajua kabisa ili kujua na kuelewa kama mtoto yuko hai ni lazima kuangalia upumuaji wa mtoto,ambapo tunaitambua pale anapolia tu. Soma Zaidi...

image Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22
Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutoka kwa mimba
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo. Soma Zaidi...