Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.

Hatua za kufuata baada ya kuambukizwa na HIV.

1. Hatua ya kwanza ni kutulia na hakikisha umefanya matibabu ndani ya Masaa sabini na mbili au zisizidi siku tatu kabla ya kufanya matibabu ukichekewa maambukizi yanakuwepo kama kawaida.

 

2. Hatua ya pili ondoa nguo zote ambazo zimechafuliwa hii utegemea na maambukizi uliyopata yametokana na nini kama ilikuwa ni ajali ondoa nguo zote na ikiwezekana oga Ili kuweza kuepuka kukaa na uchafu uliotokana na maambukizi.

 

3. Kama umechomwa na sindano acha kidonda kitililike damu  na kama sindano bado imo kwenye kidonda itoe tu kawaida huku ukitulia kwa sababu ukichachamaa unaweza kusababisha kujichoma zaidi na kuongeza maambukizi ambayo hatakutarajia.

 

4. Sehemu ambayo imechomwa inapaswa kuoshwa vizuri kwa maji safi na Sabuni Ili kuondoa maambukizi mengine ambayo ni tofauti na ukimwi kwa hiyo osha na hakikisha sehemu ni safi.

 

5. Kama sehemu iliyoadhirika ni sehemu ya macho,pia na mdomo  osha kwa macho tililika au kama ni jicho epuka kulitekenya tekesha osha kwa maji tililika na katika kutosha daima utulivu ni WA muhimu.

 

6. Baada ya kufanya hayo toa taarifa kuhusu yaliyokupata kwa wanaohusika au wakubwa wako kazini au mkubwa wako yoyote.

 

7. Kapime kama ulikuwa na maambukizi kabla kwa sababu unaweza kuwa na maambukizi bila kujua  na pia tumia dawa za kuzuia mzio au aleji.

 

8. Pia ni vizuri kabisa kupima afya ya yule uliyedhank kakuambukiza kama inawezekana na ukijua ana maambukizi anza dawa mara Moja na kama Hana wewe anza uwezi jua.

 

9. Kwa hiyo hizo ni baadhi ya hatua za kufuata ila zifanyike ndani ya masaa sabini na mbili



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/05/22/Sunday - 08:17:41 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1016


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua Soma Zaidi...

Msaada kwa wenye tonsils
Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu Soma Zaidi...

Dalili za fizi kuvuja damu
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa fizi ambapo fizi huweza kuwa na maumivu, kuambukizwa, kuvuja damu kwenye fizi na Vidonda. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini Soma Zaidi...

Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana
Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa aliyepatwa na presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu vitamini C na kazi zake
Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu protini na kazi zake mwilini
Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii. Soma Zaidi...

Athari ya kutotibu maambukizi ya kwenye kibofu cha mkojo
Post hii inahusu zaidi athari za kutotibu maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo, nimatazito yanayoweza kutokea iwapo ugonjwa huu hautatibika. Soma Zaidi...

Kazi ya chanjo ya Surua
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa. Soma Zaidi...