Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.

Hatua za kufuata baada ya kuambukizwa na HIV.

1. Hatua ya kwanza ni kutulia na hakikisha umefanya matibabu ndani ya Masaa sabini na mbili au zisizidi siku tatu kabla ya kufanya matibabu ukichekewa maambukizi yanakuwepo kama kawaida.

 

2. Hatua ya pili ondoa nguo zote ambazo zimechafuliwa hii utegemea na maambukizi uliyopata yametokana na nini kama ilikuwa ni ajali ondoa nguo zote na ikiwezekana oga Ili kuweza kuepuka kukaa na uchafu uliotokana na maambukizi.

 

3. Kama umechomwa na sindano acha kidonda kitililike damu  na kama sindano bado imo kwenye kidonda itoe tu kawaida huku ukitulia kwa sababu ukichachamaa unaweza kusababisha kujichoma zaidi na kuongeza maambukizi ambayo hatakutarajia.

 

4. Sehemu ambayo imechomwa inapaswa kuoshwa vizuri kwa maji safi na Sabuni Ili kuondoa maambukizi mengine ambayo ni tofauti na ukimwi kwa hiyo osha na hakikisha sehemu ni safi.

 

5. Kama sehemu iliyoadhirika ni sehemu ya macho,pia na mdomo  osha kwa macho tililika au kama ni jicho epuka kulitekenya tekesha osha kwa maji tililika na katika kutosha daima utulivu ni WA muhimu.

 

6. Baada ya kufanya hayo toa taarifa kuhusu yaliyokupata kwa wanaohusika au wakubwa wako kazini au mkubwa wako yoyote.

 

7. Kapime kama ulikuwa na maambukizi kabla kwa sababu unaweza kuwa na maambukizi bila kujua  na pia tumia dawa za kuzuia mzio au aleji.

 

8. Pia ni vizuri kabisa kupima afya ya yule uliyedhank kakuambukiza kama inawezekana na ukijua ana maambukizi anza dawa mara Moja na kama Hana wewe anza uwezi jua.

 

9. Kwa hiyo hizo ni baadhi ya hatua za kufuata ila zifanyike ndani ya masaa sabini na mbili

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1554

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 web hosting    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEANGUKA KIFAFA

Kifafa kinaweza kumpata mtu muda wowte.

Soma Zaidi...
Kushiriki ngono na mtu aliye na vvu na ukimwi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi

Soma Zaidi...
Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.

Soma Zaidi...
Mem mtoto ang almeza sumu yapanya ila tulimpa maziwa kwan inaweza leta madhara kwabaadae mana atukumpeleka hosptal

Maziwa ni mojakati ya vinywaji ambavyo ni dawa na hutumikakutoa huduma ya kwanza pale mtu anapomeza ama kula sumu. Huduma ya kwanza hii inaweza kuokoa maisha na wakati mwingine inaweza kuwa ndio dawa kabisa wala hakuna haja ya kufika Kituo cha afya.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu protini na kazi zake mwilini

Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.

Soma Zaidi...
Zijue dalili za upungufu wa maji mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini

Soma Zaidi...
Kumsaidia mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote machoni

Posti hii inahusu hasa jinsi uchafu, wadudu na vitu vingine vinavyoweza kuingia machoni.macho ni mojawapo ya milango mitano ya fahamu ambapo kazi yake ni kuona.

Soma Zaidi...
Upungufu wa vitamin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin

Soma Zaidi...