Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.
1. Hatua ya kwanza ni kutulia na hakikisha umefanya matibabu ndani ya Masaa sabini na mbili au zisizidi siku tatu kabla ya kufanya matibabu ukichekewa maambukizi yanakuwepo kama kawaida.
2. Hatua ya pili ondoa nguo zote ambazo zimechafuliwa hii utegemea na maambukizi uliyopata yametokana na nini kama ilikuwa ni ajali ondoa nguo zote na ikiwezekana oga Ili kuweza kuepuka kukaa na uchafu uliotokana na maambukizi.
3. Kama umechomwa na sindano acha kidonda kitililike damu na kama sindano bado imo kwenye kidonda itoe tu kawaida huku ukitulia kwa sababu ukichachamaa unaweza kusababisha kujichoma zaidi na kuongeza maambukizi ambayo hatakutarajia.
4. Sehemu ambayo imechomwa inapaswa kuoshwa vizuri kwa maji safi na Sabuni Ili kuondoa maambukizi mengine ambayo ni tofauti na ukimwi kwa hiyo osha na hakikisha sehemu ni safi.
5. Kama sehemu iliyoadhirika ni sehemu ya macho,pia na mdomo osha kwa macho tililika au kama ni jicho epuka kulitekenya tekesha osha kwa maji tililika na katika kutosha daima utulivu ni WA muhimu.
6. Baada ya kufanya hayo toa taarifa kuhusu yaliyokupata kwa wanaohusika au wakubwa wako kazini au mkubwa wako yoyote.
7. Kapime kama ulikuwa na maambukizi kabla kwa sababu unaweza kuwa na maambukizi bila kujua na pia tumia dawa za kuzuia mzio au aleji.
8. Pia ni vizuri kabisa kupima afya ya yule uliyedhank kakuambukiza kama inawezekana na ukijua ana maambukizi anza dawa mara Moja na kama Hana wewe anza uwezi jua.
9. Kwa hiyo hizo ni baadhi ya hatua za kufuata ila zifanyike ndani ya masaa sabini na mbili
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.
Soma Zaidi...Maziwa ni mojakati ya vinywaji ambavyo ni dawa na hutumikakutoa huduma ya kwanza pale mtu anapomeza ama kula sumu. Huduma ya kwanza hii inaweza kuokoa maisha na wakati mwingine inaweza kuwa ndio dawa kabisa wala hakuna haja ya kufika Kituo cha afya.
Soma Zaidi...Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu hasa jinsi uchafu, wadudu na vitu vingine vinavyoweza kuingia machoni.macho ni mojawapo ya milango mitano ya fahamu ambapo kazi yake ni kuona.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin
Soma Zaidi...