Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Hijja na Umrah.
Maana ya Hijja
Kilugha: Kuzuru au kutembelea mahali kwa lengo maalum.
Kisheria: Ni kuizuru Kaabah, nyumba tukufu ya Makkah katika mwezi na siku
maalum kwa kuzingatia masharti na nguzo zote za Hija.
Maana ya Umrah
Kilugha: Ni kutembelea.
Kisheria: Ni kutembelea nyumba tukufu ya Kaabah katika mwezi na siku yeyote
kwa kuzingatia sharti na nguzo za Umrah.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Nguzo za uislamu,aina za swala (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Hapa nitakujulisha kuhusu swala ya kuomba mvia, na taratibu za kuiswali.
Soma Zaidi...Yajuwe mambo ambayo yanapendeza kuyafanya wakati ukiwa umefunga Ramadhani.
Soma Zaidi...