picha

Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

1. Kwanza mtoto akigunduliwa kubwa na tatizo la Maambukizi kwenye mifupa anapaswa kupewa antibiotics ambayo inatibu ugonjwa huu ni vizuri mtoto kupewa antibiotics kwenye mfumo wa maji yaani drip kwa kufanya hivyo bakteria wanaosababisha Maambukizi wanaweza kupunguza au kuondolewa.

 

2. Jaribu kumweka mtoto kwenye mkao mzuri zaidi ili kuweza kupunguza kiwango cha maumivu, kwa sababu ya Maambukizi kuna sehemu ambazo zinakuwa na maumivu kupita sehemu nyingine kwa hiyo sehemu hizo zinabidi kugundulika na kuepuka kukaliwa au kukaliwa, kwa hiyo mtoto anapaswa kuwekwa kwenye sehemu nzuri.

 

3. Kwa kuwa mtoto anakuwa kwenye drip na anakuwa na maumivu kwa hiyo anapaswa kupimwa joto la mwili, msukumo wa damu, mapigo ya moyo ili kuona kama kuna mabadiliko, kama joto la mwili liko juu mtoto anapaswa kushushwa joto la mwili kwa kutumia baadhi ya Dawa na maumivu kama vile paracetamol ili kuepuka matatizo mengine ambayo usababishwa na joto la mwili kuwa juu kama vile degedege na kupungukiwa kwa damu.

 

4, Hakikisha kama kuna kidonda kidonda kwenye mfupa kilichotokana na Maambukizi kimesafishwa kwa kufanya hivyo tunaweza kupunguza maumivu na kuongeza kiwango cha kupona haraka na pia vitu vyote vya kusafishia kidonda vinapaswa kuwepo ili kukifanya kipone haraka.

 

5. Kwa mtoto hakikisha unaangalia kiasi cha kilichoingia na kiasi kilichotoka, kwa kuangalia kiasi kilichoingia angalia maji anayokunywa, chai au uji na vitu vyote vya aina ya kumiminika vilivyoungia mwilini na pia anapaswa kuangalia kiasi kilichotoka kwa kuangalia mkojo uliotolewa na jasho kama limetoka tunafanya hivi ili kuzuia kuishiwa kwa maji mwilini.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/03/Monday - 02:34:45 pm Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1282

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Je inakuaje kama umempiga denda mtu mweny ukimwi ambaye anatumia daw za ARVs na una michubuko midogo mdomon ya kuungua na chai

Bila shaka umeshawahi kujiuliza kuwa je mate yanaambukiza HIV ama laa. Na kama hayaambukizi ni kwa sababu gani. Sio mate tu pia kuhusu jasho kama pia linaweza kuambukiza ukimwi ama HIV. Wapo pia wanajiuliza kuhusu mkojo kama unaweza kuambukizwa HIV. Kar

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa dondakoo

Dondakoo ni ugonjwa mbaya unaosababishwa na sumu inayotengenezwa na bakteria. Husababisha mipako nene nyuma ya pua au koo ambayo inafanya kuwa ngumu kupumua au kumeza. Inaweza kuwa mauti.

Soma Zaidi...
Sababu za kuvimba na maumivu kwenye korodani moja au zote mbili

Post yetu ya Leo inaenda kutufundisha kuhusiana na uvimbe wa korodani moja au ambayo kitaalamu huitwa EPIDIDYMITIS. EPIDIDYMITIS ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kiume wa uzazi. Epididymis ni mrija (tube) uliyoko nyuma ya korodani ambayo mbegu za kiume

Soma Zaidi...
Ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu -multiple sclerosis

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dadili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu ambao kitaalamu hujulikana Kama multiple sclerosis.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa fungusi uken

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo.

Soma Zaidi...
Ni nini husababisha mate kujaa mdomoni, na ni yapi matibabu yake

Hapa tutaangalia baadhi ya sababu zinazopelekea mdomo kujaa mate na namna ya kutibu tatizo la kujaa kwa mate mdomoni

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia uwepo wa ugonjwa wa Bawasili.

Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili.

Soma Zaidi...
Madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa

Soma Zaidi...
Maradhi yatokanayo na fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi

Soma Zaidi...