picha

Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

1. Kwanza mtoto akigunduliwa kubwa na tatizo la Maambukizi kwenye mifupa anapaswa kupewa antibiotics ambayo inatibu ugonjwa huu ni vizuri mtoto kupewa antibiotics kwenye mfumo wa maji yaani drip kwa kufanya hivyo bakteria wanaosababisha Maambukizi wanaweza kupunguza au kuondolewa.

 

2. Jaribu kumweka mtoto kwenye mkao mzuri zaidi ili kuweza kupunguza kiwango cha maumivu, kwa sababu ya Maambukizi kuna sehemu ambazo zinakuwa na maumivu kupita sehemu nyingine kwa hiyo sehemu hizo zinabidi kugundulika na kuepuka kukaliwa au kukaliwa, kwa hiyo mtoto anapaswa kuwekwa kwenye sehemu nzuri.

 

3. Kwa kuwa mtoto anakuwa kwenye drip na anakuwa na maumivu kwa hiyo anapaswa kupimwa joto la mwili, msukumo wa damu, mapigo ya moyo ili kuona kama kuna mabadiliko, kama joto la mwili liko juu mtoto anapaswa kushushwa joto la mwili kwa kutumia baadhi ya Dawa na maumivu kama vile paracetamol ili kuepuka matatizo mengine ambayo usababishwa na joto la mwili kuwa juu kama vile degedege na kupungukiwa kwa damu.

 

4, Hakikisha kama kuna kidonda kidonda kwenye mfupa kilichotokana na Maambukizi kimesafishwa kwa kufanya hivyo tunaweza kupunguza maumivu na kuongeza kiwango cha kupona haraka na pia vitu vyote vya kusafishia kidonda vinapaswa kuwepo ili kukifanya kipone haraka.

 

5. Kwa mtoto hakikisha unaangalia kiasi cha kilichoingia na kiasi kilichotoka, kwa kuangalia kiasi kilichoingia angalia maji anayokunywa, chai au uji na vitu vyote vya aina ya kumiminika vilivyoungia mwilini na pia anapaswa kuangalia kiasi kilichotoka kwa kuangalia mkojo uliotolewa na jasho kama limetoka tunafanya hivi ili kuzuia kuishiwa kwa maji mwilini.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1446

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 ai web app     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Fahamu Dalili zinazotokana na kuzama kwenye majj kwa watoto.

Kuzama hufafanuliwa kama mchakato unaosababisha upungufu mkubwa wa kupumua kutokana na kuzamishwa kwenye chombo cha kuogelea (kioevu). Kuzama hurejelea tukio ambalo njia ya hewa ya mtoto huzamishwa kwenye kioevu, na kusababisha kuharibika kwa kupumua.

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo mviringo (ascariasis)

Ascariasis ni aina ya maambukizi ya minyoo mviringo. Minyoo hii ni vimelea wanaotumia mwili wako kama mwenyeji kukomaa kutoka kwa mabuu au mayai hadi minyoo wakubwa. Minyoo ya watu wazima, ambayo huzaa, inaweza kuwa zaidi ya futi (sentimita 30) kwa

Soma Zaidi...
Ninashida Kuna mtu anaumwa pressure Kila anap pima Iko juu il mwil aumuumi at kidg n dawa anatumia unawez kunisaidiaj

Kama unasumbuliwa na presha post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakuoatia ushauri kutokana na swali alilouliza mdau wetu.

Soma Zaidi...
Kiungulia, dawa yake na namna ya kuzuia kiungulia

Tambuwa kiungulia, sababu zake, dawa za kiungulia na namna ya kupambana na kiungulia

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa macho.

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa macho, ugonjwa huu kwa kawaida una dalili kuu tano kadri ya maambukizi yanavyoongezeka na madhara yake kwa hiyo tunapaswa kujua dalili hizo Kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Walio hatarini kupata gonorrhea (gonoria)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu watu walio hatarini kupata gonorrhea gonoria

Soma Zaidi...