picha

Huduma kwa walio na matatizo ya asili nyingi mwilini

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wale ambao tayari wameshakuwa na tatizo la asidi mwilini, ni njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza tatizo hili au Mgonjwa anapoendelea kupata matibabu.

Mambo ya kufanya kwa walio na tatizo la asidi mwilini.

1. Daima kula chakula kisichokuwa na ubaridi au na moto mwingi kwa hiyo kiwe cha kati na wakati wa kula chakula daima kula chakula kwa utaratibu na meza chakula kidogo kidogo hasa kwa wale wenye matatizo ya vidonda kooni.

 

2. Siku zote usitumie chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni na pia usile chakula na kulala mara tu baada ya kula daima subiri kidogo kabla ya kulala na kula vyakulal laini sana na mlo kidogo baada ya saa kumi na moja jioni.

 

3. Husilale chako baada ya kula,

Kwa kawaida ukimaliza kula Subiri kidogo na ndipo ulale na pia wakati wa kulala daima lala kwa upande usilale chali , ukilala chali unasababisha kiwango cha asidi  kupanda juu na kuingia kooni hali inayoongeza kuwepo kwa tatizo.

 

4. Wakati wa kula kula kiasi kidogo na mara nyingi uwezavyo.

Hii ina maana kwamba siku zota kama umegundua una tatizo hili kula chakula kidogo kidogo na unaweza kutumia mda mwingi yaani kwa siku unaweza kula mala tano ila una kula chakula kidogo kidogo .

 

5. Jaribu kupunguza mfumo wa ulaji.

Hii ina maana kuepuka vyakula vya kukaanga, vyakula vyenye kemikali nyingi na vyakula ambavyo huwa na utamu kinywani ila havina faida yoyote mwilini daima siku zote kama una tatizo hili chemsha chakula chako kwa sababu vyakula vyenye kemikali nyingi na mafuta vina asidi nyingi.

 

6. Epuka nguo za kubana, 

Kwa kawa watu wenye matatizo ya kuwepo na asidi mwilini wanapaswa kuepuka nguo za kubana na kuvaa nguo zilizo wazi ili kuweza kuwa huru na kuruhusu mzunguko wa damu mwilini juwa kawaida

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/06/03/Friday - 11:50:42 am Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1417

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 ai web app    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Tatizo la Kikohozi Cha muda mrefu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kikohozi cha muda mrefu ni zaidi ya kero. Kikohozi cha muda mrefu kinaweza kuharibu usingizi wako na kukuacha unahisi uchovu. Matukio makali ya kikohozi cha muda mrefu yanaweza kusababisha kutapika, kizunguz

Soma Zaidi...
YAMINYOO NA ATHARI ZAO KIAF

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Ni nini husababisha kuziba kwa Njia ya machozi

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa kuziba kwa Njia ya machozi yaani kukosa machozi ambayo husababishwa na maambukizi.

Soma Zaidi...
Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?

Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana.

Soma Zaidi...
Homa ya Dengue, dalili za homa ya dengue na Njia ya kujikinga nayo

HOMA YA DENGUEHoma ya dengue ni miongoni mwa maradhi hatari ambayo husambazwa na mbu.

Soma Zaidi...
Ni bakteria gani husababisha ugonjwa wa pumu

Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.

Soma Zaidi...
Dalili za Kuvimbiwa kwa watoto

Posti hii inazungumzia kuhusiana Kuvimbiwa kwa watoto ni tatizo la kawaida.Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi kuna sifa ya kupata haja kubwa mara kwa mara au kinyesi kigumu, kikavu. Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha kuvimbiwa kwa watoto.Sababu za kawa

Soma Zaidi...
Swali langu ni hivi ,napata maumivu kwa mbali kwenye njia za mkojo pia napoteza ham na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kadiri siku zinavoenda je,hizi ni dalili za tezi dume?

Hivi umeshawahikujiuliza kuhusu tezi dume. Wacha nikujuze kitu kimoja, ni kuwa tezi dume huwapata watu kuanziamiaka 40 na kuendelea. Na ifahamike kuwa tezi dume sio busha ama ngiri maji. Pia itambulikekuwa rozi dumehutibika.

Soma Zaidi...
fangasi, aina zao, dalili zao na matibabu yao

Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Bawasili

Posti hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa Bawasili, ni ugonjwa unaotokea kwenye njia ya haja kubwa hali ambayo upelekea kuwepo kwa uvimbe au nyama ambazo uonekana hadi nje, kwa lugha ya kitaalamu ujulikana kama haemorrhoid au pokea.

Soma Zaidi...