Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wale ambao tayari wameshakuwa na tatizo la asidi mwilini, ni njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza tatizo hili au Mgonjwa anapoendelea kupata matibabu.
1. Daima kula chakula kisichokuwa na ubaridi au na moto mwingi kwa hiyo kiwe cha kati na wakati wa kula chakula daima kula chakula kwa utaratibu na meza chakula kidogo kidogo hasa kwa wale wenye matatizo ya vidonda kooni.
2. Siku zote usitumie chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni na pia usile chakula na kulala mara tu baada ya kula daima subiri kidogo kabla ya kulala na kula vyakulal laini sana na mlo kidogo baada ya saa kumi na moja jioni.
3. Husilale chako baada ya kula,
Kwa kawaida ukimaliza kula Subiri kidogo na ndipo ulale na pia wakati wa kulala daima lala kwa upande usilale chali , ukilala chali unasababisha kiwango cha asidi kupanda juu na kuingia kooni hali inayoongeza kuwepo kwa tatizo.
4. Wakati wa kula kula kiasi kidogo na mara nyingi uwezavyo.
Hii ina maana kwamba siku zota kama umegundua una tatizo hili kula chakula kidogo kidogo na unaweza kutumia mda mwingi yaani kwa siku unaweza kula mala tano ila una kula chakula kidogo kidogo .
5. Jaribu kupunguza mfumo wa ulaji.
Hii ina maana kuepuka vyakula vya kukaanga, vyakula vyenye kemikali nyingi na vyakula ambavyo huwa na utamu kinywani ila havina faida yoyote mwilini daima siku zote kama una tatizo hili chemsha chakula chako kwa sababu vyakula vyenye kemikali nyingi na mafuta vina asidi nyingi.
6. Epuka nguo za kubana,
Kwa kawa watu wenye matatizo ya kuwepo na asidi mwilini wanapaswa kuepuka nguo za kubana na kuvaa nguo zilizo wazi ili kuweza kuwa huru na kuruhusu mzunguko wa damu mwilini juwa kawaida
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo, tunajua kubwa mama kama ana ugonjwa huu anaweza kumwambikiza mtoto na mtoto akazaliwa na Ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna madonda koo yanavyotokea, ni jinsi na namna Magonjwa haya au Maambukizi yanavyotokea na kuweza kusababisha madhara kwa watu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za maambukizi kwenye nephroni, ni vitu vinavyosababisha mabukizi kwenye nephroni.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu
Soma Zaidi...FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Baada ya kujifungua mwili wa mwanamke huwa na mabadiliko tofauti na siku za nyuma. Kwa mfano hatapatavtena hedhi, hatoweza kupata ujauzito kwa muda wa mwezi ama zaidi. Endelea na post hii ujifunze zaidi
Soma Zaidi...