Huduma kwa wasioona hedhi

Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi.

Huduma kwa wasioona hedhi.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kubwa kila mtoto wa kikea anapaswa kuiona hedhi yake kwa mda mwafaka kwa kawaida huwa ni kuanzia miaka kumi na mbili na kwa wasioona ni kwa sababu ya vigezo mbalimbali kwa hiyo tunapaswa kuwasaidia kama ifuatavyo.

 

2. Kuongea na mwenye tatizo kuhusu mtindo waka wa maisha, hasa kuhusu matumizi ya vyakula vya mafuta na pia kuhusu mawazo na stress kama anazo kama kuna vitu vya aina hiyo Mgonjwa anapaswa kuvipunguza ili aweze kuruhusu mwili kufanya kazi zake za kawaida na ataweza kupata hedhi.

 

3.Kuchukua vipimo ili kuangalia kama kuna uaribifu wowote kwenye via vya uzazi kuanzia kwenye ovari, mrija wa kupitishia yai, kwenye mfuko wa uzazi, kwenye mlango wa kizazi na kama kuna shida yoyote tunapaswa kuifanyia kazi ili kumsaidia kuingia kwenye siku zake za mwezi.

 

4. Kumpatia vidonge vya uzazi wa mpango 

Kwa kumpatia mgonjwa vidonge vya uzazi wa mpango anaweza kufanya homoni zikaanza kufanya kazi kwa sababu vidonge hivi navyo vina homoni kama zile za kwenye mwili wa binadamu,

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kujua wazi kuwa kupima afya zetu mara kwa mara kuangalia kama kuna Maambukizi au uvimbe ambavyo vinaweza kusababisha kukosa kwa hedhi kwa hiyo tunapaswa kuwa na tabia hiyo maana upunguza matatizo ya ki afya



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/02/16/Wednesday - 02:52:09 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 843


Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22
Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa
Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye Soma Zaidi...

Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua. Soma Zaidi...

Nguzo kuu za umama katika umri wa kupata watoto na kulea watoto
Posti hii inahusu zaidi nguzo kuu za umama katika umri wa kujifungua na kulea watoto, ni kipindi ambacho mama anakuwa analea watoto kwa kawaida kadri ya makadirio kipindi hiki uanza kati ya miaka kumi na mitano mpaka arobaini kwa walio wengi na kinaweza k Soma Zaidi...

Kazi ya metronidazole
Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole. Soma Zaidi...

Madhara ya vidonge vya P2
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2, Soma Zaidi...

Tatizo la muingiliano wa majimaji ya Amniotic au seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito.
posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot Soma Zaidi...

Siku za kupata mimba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba Soma Zaidi...

Dalili za kujifungua hatua kwa hatua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ujauzito baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...

Huduma za msingi kwa mama mjamzito na mtoto.
Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria,ni mojawapo ya antibiotics au anti bacteria ambayo upambana na bakteria kama tutakavyoona hapo mbeleni. Soma Zaidi...

Kazi na mdalasini katika kutibu matatizo ya homoni.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake. Soma Zaidi...