Huduma kwa wasioona hedhi
Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi.
Huduma kwa wasioona hedhi.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kubwa kila mtoto wa kikea anapaswa kuiona hedhi yake kwa mda mwafaka kwa kawaida huwa ni kuanzia miaka kumi na mbili na kwa wasioona ni kwa sababu ya vigezo mbalimbali kwa hiyo tunapaswa kuwasaidia kama ifuatavyo.
2. Kuongea na mwenye tatizo kuhusu mtindo waka wa maisha, hasa kuhusu matumizi ya vyakula vya mafuta na pia kuhusu mawazo na stress kama anazo kama kuna vitu vya aina hiyo Mgonjwa anapaswa kuvipunguza ili aweze kuruhusu mwili kufanya kazi zake za kawaida na ataweza kupata hedhi.
3.Kuchukua vipimo ili kuangalia kama kuna uaribifu wowote kwenye via vya uzazi kuanzia kwenye ovari, mrija wa kupitishia yai, kwenye mfuko wa uzazi, kwenye mlango wa kizazi na kama kuna shida yoyote tunapaswa kuifanyia kazi ili kumsaidia kuingia kwenye siku zake za mwezi.
4. Kumpatia vidonge vya uzazi wa mpango
Kwa kumpatia mgonjwa vidonge vya uzazi wa mpango anaweza kufanya homoni zikaanza kufanya kazi kwa sababu vidonge hivi navyo vina homoni kama zile za kwenye mwili wa binadamu,
5.Kwa hiyo tunapaswa kujua wazi kuwa kupima afya zetu mara kwa mara kuangalia kama kuna Maambukizi au uvimbe ambavyo vinaweza kusababisha kukosa kwa hedhi kwa hiyo tunapaswa kuwa na tabia hiyo maana upunguza matatizo ya ki afya
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 ai web app 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Mapendekezo muhimu kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi mapendekezo muhimu kwa wajawazito, haya ni mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya ili wajawazito waweze kule mimba zao vizuri na kuweza kujifungua vizuri na kupata watoto wenye afya njema na makuzi mazuri pasipokuwepo na ule
Soma Zaidi...Nini husababisha upungufu wa nguvu za kiume
Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Mimi kwenye korodani yai moja limezungukwa na majimaji ,na haya maji yamekuwepo toka utotoni mwangu lakin bado sijayaona matatizo yake , je kitaaramu hii inaweza kua na athari gani? ,Naombeni ushauri
Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke.
Soma Zaidi...Dalili 10 za kukaribia kujifungua pamoja na uchungu wa kujifungua
Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Soma Zaidi...Unakuta siku imefka ya hedhi kabla haijaanza kutoka hedhi yanatoka maji meupe clean kabisa hii Ina naamisha nini?
Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali.
Soma Zaidi...Dalili za kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...