picha

Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Huduma kwa wagonjwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

1.Kwanza kabisa Watu hawa huwa wanaharisha na kutapika kwa hiyo kitu cha kwanza ni kuhakikisha kurudisha maji yaliyopotea ili kuepuka hali ya kuishiwa maji mwilini.

 

2.Tunajua kuwa kutokana na Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo mgonjwa anakuwa na maumivu kwa hiyo tunapaswa kumpatia mgonjwa dawa za kutuliza maumivu kama vile panadol, Asprin na dawa nyingine zinazofaa kwa kupunguza gharama.

 

3.Pia Mgonjwa anapaswa kupewa antibiotics ambazo usaidia kuzuia maambukizi, antibiotics hizo ni kama vile metronidazole ambazo ni nzuri sana katika kuzuia kuharisha kwa hiyo tunawapatia dawa hizo ili kuweza kuzuia maambukizi kama yapo.

 

4.Na pia tunapaswa kuangalia kiasi cha maji yanayoingia na kiasi cha maji yanayotoka ili kuweza kuepuka kupoteza kiasi cha maji kwenye mwili kwa kufanya hivyo tutaweza kugundua kama maji yapo ya kutosha au yamepungua.

 

5.Tunapaswa pia kuangalia vipimo vya mwili kama vile mapigo ya moyo, upumuaji, msukumo wa damu na upumuaji  pia tunapaswa kuangalia kiwango cha joto la mwili kama limepanda au limeshuka na kuweza kuliweka sawa.

 

6.Tumapaswa kujua kuwa maambukizi ya kwenye tumbo na utumbo mdogo kunakuwepo na sababu kwa hiyo tunapaswa kujua chanzo na kuweza kutibu pia tutaweza kuzuia ili kuepuka na matatizo ya Maambukizi kwenye utumbo na utumbo mdogo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1555

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 ai web app     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Dalili na ishara za kuvimba kope.

Posti hii inaonyesha Dalili na ishara za kuvimba kope ambayo kitaalamu hujulikana Kama blepharitis.

Soma Zaidi...
Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni.

Soma Zaidi...
Kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI

Soma Zaidi...
Dalili za Kiharusi Cha joto la mwili.

Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kufichuliwa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Soma Zaidi...