Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Huduma kwa wagonjwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

1.Kwanza kabisa Watu hawa huwa wanaharisha na kutapika kwa hiyo kitu cha kwanza ni kuhakikisha kurudisha maji yaliyopotea ili kuepuka hali ya kuishiwa maji mwilini.

 

2.Tunajua kuwa kutokana na Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo mgonjwa anakuwa na maumivu kwa hiyo tunapaswa kumpatia mgonjwa dawa za kutuliza maumivu kama vile panadol, Asprin na dawa nyingine zinazofaa kwa kupunguza gharama.

 

3.Pia Mgonjwa anapaswa kupewa antibiotics ambazo usaidia kuzuia maambukizi, antibiotics hizo ni kama vile metronidazole ambazo ni nzuri sana katika kuzuia kuharisha kwa hiyo tunawapatia dawa hizo ili kuweza kuzuia maambukizi kama yapo.

 

4.Na pia tunapaswa kuangalia kiasi cha maji yanayoingia na kiasi cha maji yanayotoka ili kuweza kuepuka kupoteza kiasi cha maji kwenye mwili kwa kufanya hivyo tutaweza kugundua kama maji yapo ya kutosha au yamepungua.

 

5.Tunapaswa pia kuangalia vipimo vya mwili kama vile mapigo ya moyo, upumuaji, msukumo wa damu na upumuaji  pia tunapaswa kuangalia kiwango cha joto la mwili kama limepanda au limeshuka na kuweza kuliweka sawa.

 

6.Tumapaswa kujua kuwa maambukizi ya kwenye tumbo na utumbo mdogo kunakuwepo na sababu kwa hiyo tunapaswa kujua chanzo na kuweza kutibu pia tutaweza kuzuia ili kuepuka na matatizo ya Maambukizi kwenye utumbo na utumbo mdogo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1362

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAA KWA MATE MDOMONI NA MATIBABU YAKE

Kutokwa na mate mengi mdomoni si ugojwa ni hali inayoweza kutokea kwa mtu yeyote. Mara nyingi hali hii haihitaji matibabu wa dawa, na huondoka yenyewe. Lakini hutokea baadhi ya nyakati ikawa mate yanatoka zaidi mdomoni. Je na wewe ni miongoni mwao? Makala

Soma Zaidi...
Sababu za vidonda sugu vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
Dalili na madhara ya Kiungulia

post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama

Soma Zaidi...
Ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu -multiple sclerosis

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dadili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu ambao kitaalamu hujulikana Kama multiple sclerosis.

Soma Zaidi...
Yajue magonjwa nyemelezi.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi ambayo kwa kawaida utokea pale ambapo kinga ya mwili inashuka.

Soma Zaidi...
Matatozo katika choo kidogo, maradhi ya figo na dalili zake pia namna ya kujikinga na madhradhi ya figo

MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA FIGOFigo ni kiungo muhimu sana katika uchujaji wa mkojo, na afya ya mfumo wa utoaji taka mwili.

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha kuharisha

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu

Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba homoni kwa wagonjwa wa saratani

Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani.

Soma Zaidi...
Hatua za kupambana na ugonjwa wa UTI

Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu.

Soma Zaidi...