picha

Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Huduma kwa wagonjwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

1.Kwanza kabisa Watu hawa huwa wanaharisha na kutapika kwa hiyo kitu cha kwanza ni kuhakikisha kurudisha maji yaliyopotea ili kuepuka hali ya kuishiwa maji mwilini.

 

2.Tunajua kuwa kutokana na Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo mgonjwa anakuwa na maumivu kwa hiyo tunapaswa kumpatia mgonjwa dawa za kutuliza maumivu kama vile panadol, Asprin na dawa nyingine zinazofaa kwa kupunguza gharama.

 

3.Pia Mgonjwa anapaswa kupewa antibiotics ambazo usaidia kuzuia maambukizi, antibiotics hizo ni kama vile metronidazole ambazo ni nzuri sana katika kuzuia kuharisha kwa hiyo tunawapatia dawa hizo ili kuweza kuzuia maambukizi kama yapo.

 

4.Na pia tunapaswa kuangalia kiasi cha maji yanayoingia na kiasi cha maji yanayotoka ili kuweza kuepuka kupoteza kiasi cha maji kwenye mwili kwa kufanya hivyo tutaweza kugundua kama maji yapo ya kutosha au yamepungua.

 

5.Tunapaswa pia kuangalia vipimo vya mwili kama vile mapigo ya moyo, upumuaji, msukumo wa damu na upumuaji  pia tunapaswa kuangalia kiwango cha joto la mwili kama limepanda au limeshuka na kuweza kuliweka sawa.

 

6.Tumapaswa kujua kuwa maambukizi ya kwenye tumbo na utumbo mdogo kunakuwepo na sababu kwa hiyo tunapaswa kujua chanzo na kuweza kutibu pia tutaweza kuzuia ili kuepuka na matatizo ya Maambukizi kwenye utumbo na utumbo mdogo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/16/Wednesday - 10:00:51 pm Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1513

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 web hosting    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Magonjwa ya kuambukiza.

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watu wazima

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi ya sikio mara nyingi ni maambukizi ya bakteria au virusi ambayo huathiri sikio la kati, nafasi iliyojaa hewa nyuma ya ngoma ya sikio ambayo ina mifupa midogo ya sikio inayotetemeka. Maambukizi ya si

Soma Zaidi...
Yajuwe maradhi mbalmbali ya ini na chano chake

Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo.

Soma Zaidi...
dalili za ukimwi kwa mwanaume

Katika post hii utakwenda kujifunza zaidi khusu dalili za ukimwi ama HIV kwa wanaume

Soma Zaidi...
Fangasi watambulikao kama invasive candidiasis

Hawa huweza kuingia kwenye mfumo wa damu na kuenda maeneo mengine nyeti sana ya mwili.

Soma Zaidi...
Njia za kufanya ukiwa na tatizo la uti wa mgongo.

Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.

Soma Zaidi...
Dalili za awali za ugonjwa wa kizukari

ugonjwa wa kisukari ni moja katika magonjwa hatari sana, na mpaka sasa bado hauna matibabu ya kuponya moja kwa moja

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za kuvimba kope.

Posti hii inaonyesha Dalili na ishara za kuvimba kope ambayo kitaalamu hujulikana Kama blepharitis.

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.

Soma Zaidi...