picha

Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu

Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo

Huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu

1. Kwanza kabisa kama mdudu bado yupo kwenye mwili wa mtu anapaswa atolewa kabisa

2.kama mtu amevimba tunaaweza kutumia ice Ili kuondoa maambukizi

3. Tutumie dawa za alegi ambazo kwa kitaalamu zinaitwa histamine, hizi dawa hupunguza kuenea kwa sumu

4. Kama Kuna dalili zozote za kuwepo kwa nabaki ya wadudu kwenye mwili au meno ya wadudu kwenye ngozi inabidi yatolewe mara Moja.

Angalisho

1.Ili kuepuka kuumwa na wadudu tunapaswa kuwa mbali na sehemu Ile ambapo wadudu wanaoweza kuwepo

2. Kupikia ndani ya nyumba Ili kuepuka wadudu wansozunguka nje

3. Kusafisha nyumba kila mara na kupiga buibui Ili kuzuia wadudu wasizaliane sana

4. Kuwalinda watoto wanapokuwa wanacheza Ili wasichokoze wadudu wakali kama vile nyuki

5. Kuhakikisha wadudu wanaovamia makazi kama vile nyuki wanahamishwa au kuunguzwa kabisa Ili wasilete madhara ,

Kwa hiyo tujue kuwa wadudu wakivamia mtu hasa watoto wanaoweza kuleta madhara makubwa au pengine kifo kwa hiyo tuwe makini na na azingira yetu na tuhakikishe tumayasafisha Ili kufukuza wadudu wenye madhara

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/11/17/Wednesday - 05:19:16 pm Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2312

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 ai web app    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Vipimo vya kuchunguza kama una asidi nyingi tumboni

Posti hii inahusu zaidi vipimo vya kuchunguza kama una kiwango kikubwa cha asidi au tindikali tumboni

Soma Zaidi...
Dalili za fizi kuvuja damu

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa fizi ambapo fizi huweza kuwa na maumivu, kuambukizwa, kuvuja damu kwenye fizi na Vidonda.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Somo hili linakwenda kukuletea utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Soma Zaidi...
Makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu

Soma Zaidi...
Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini.

Soma Zaidi...
Je, utamsaidia vipi mtu aliyeumwa na nyuki?

Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.

Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na presha ya kupanda/hypertension

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kupanda

Soma Zaidi...
Aina za vidonda

Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti.

Soma Zaidi...
Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.

Soma Zaidi...
Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...