Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeshambuliwa na moyo na kushindwa kupumua
Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,
Njia za kuamsha moyo uliosimama
1. Kwanza angalia usalama wa mtu na mazingira yake
2.angalia kama mtu anaweza kuhisi maumivu, kuona ishara yoyote au kuamka
3.analia upumuaji wa mgonjwa na msukumo wa damu
4.angalia upumuaji kama haupo chukua mikono yako weka juu ya kifua Cha mgonjwa, gandamiza na kutoa mikono mara thelathini. Ukifikisha mara thelathini unampatia hewa mara mbili, endelea hivyo mara Tano mfululizo ukigandamiza mara thelathini na hewa mara mbili
5, ukifikisha mara Tano angalia kama msukumo wa damu umerudi kawaida
6. Endelea kumpatia hewa baadae kama ameweza kupumua vizuri, pima msukumo wa damu
7. Kama mgonjwa ataweza kupumua mpelekee hospitalini kwa matibabu zaidi
Angalia huduma ya kwanza kwa aliyezimia bofya hapa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 ai web app 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.
Soma Zaidi...Kwanini mdomo unakuwa mchungu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu
Soma Zaidi...Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Soma Zaidi...Umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.
Soma Zaidi...Mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu
Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu, kama mtu amepoteza fahamu Kuna mambo muhimu yanapaswa kuangaliwa kwa makini kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...