picha

Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.

Fahamu kuhusu dawa ya epinephrine katika kutuliza aleji.

1. Dawa ya epinephrine ni mojawapo ya dawa za kutuliza aleji, dawa hizi imependekeza hasa kama mgonjwa hawezi kutumia hydrocortisone, Prednisone au pengine dawa hizo hazikubaliani na mgonjwa.

 

2.Dawa hii ya Prednisone usaidia sana katika kutuliza aleji zinazokuwa za ghafla au kwa watu wake wanaopata aleji za vyakula, vumbi, harufu ya maua, ngozi za wanyama na pia kwa wagonjwa wa asthma dawa hii usaidia sana kwa hiyo dawa hizi inaweza kutumika kwa watu wote wenye matatizo mbalimbali ya aleji.

 

3. Kwa kawaida dawa hii ya Prednisone huwa na milligrams kuanzia kwa kumi mpaka ishirini na pia uendelea mpaka sitini,na kwa wale wenye aleji nyingi dozi uanzia thelathini mpaka arobaini milligrams na pia kwa kadiri ya mgonjwa anavyoendelea kupata nafuu na dozi uendelea kupunguzwa kwa sababu dawa hizi ya aleji ina matokeo mbalimbali na dozi upunguzwa kulingana na upatikanaji wa nafuu wa mgonjwa.

 

4. Dawa hizi utumika kwa watu mbalimbali ila kwa wale wenye matatizo na dawa hizi hawapaswi kuitumia au kwa wale ambao wameitumia mara nyingi na hawakupata nafuu wasitumie dawa hii na vile vile kwa wale wenye presha ya kupanda wanapaswa kuitumia kwa uangalifu na pia kwa wale wenye matatizo kwenye mapafu wanapaswa kuitumia kwa uangalifu wa wataalamu wa afya.

 

5. Dawa hizi huwa na maudhui mbalimbali kama vile maumivu ya kichwa baada ya kutumia, mwili kuishiwa nguvu,na pengine kikohozi kinaweza kutokea baada ya kupona,kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela ni vizuri kabisa kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya hasa kwa wenye presha na dawa hizi Usababisha kuongeza mapigo ya moyo kwa hiyo ushauri wa daktari na wataalamu wa afya ni muhimu.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 1894

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 ai web app     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia dawa za ARV

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu UTI

Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,

Soma Zaidi...