Navigation Menu



Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne

Ifahamu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu.

1. Dawa hii ni mojawapo ya madawa ambayo yamechaguliwa kupunguza maumivu ya Kawaida na  kama tulivyoona hapo mbeleni Ina saidia pia katika magonjwa ya moyo, kwa hiyo hii dawa inatumika na watu mbalimbali ila Kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa hii nao ni watu wenye ugonjwa wa kubanwa na kifua kwa kitaamu ugonjwa huu huiitwa Asthma au katika kutumia wagonjwa hao wanapaswa kuwa makini au kutumia dawa hii kwa uangalizi zaidi na wataalamu wa afya,

 

2. Vile vile sio wagonjwa wa asthma peke yao ambao hawapaswi kutumia dawa hii pia na wale wenye aleji na dawa hii ya aspirin, Kuna wale wanaotumia wakabanwa na kifua, wengine wakawa na ma upele na mambo kama hayo hao watu wa aina hii hawapaswi kutumia dawa ya aspirin. Pia Kuna wale watu ambao Wana magonjwa ya Figo na hao hawapaswi kutumia dawa hii ya aspirin kwa sababu usababisha madhara zaidi kwa hiyo kwa wenye matatizo na dawa hii wanapaswa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.

 

3. Pia wengine ambao hawapaswi kutumia dawa ya aspirin ni watoto wote chini ya miaka kumi na minane na pia akina Mama wanaonyonyesha Hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu hii dwa inaweza kuwa chanzo cha ugonjwa ambao kwa kitaamu huiitwa Reyes syndrome huu ni ugonjwa unaowapata akina Mama na watoto chini ya miaka kumi na sita , kwa hiyo akina Mama wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka kumi na sita watafutiwe dawa nyingine za maumivu Ili kuepuka madhara mengine.

 

4.pia watu wenye tatizo la vidonda vya tumbo na wenyewe hawapaswi kutumia dawa hii ya maumivu aina ya aspirin, na wale wenye tatizo la kutoka na damu hasa kwa kitaamu huiitwa haemophilia na wenyewe hawapaswi kutumia dawa hii ya maumivu. na pia dawa hii  uingilia kwenye mfumo wa uchujaji wa mkono ambapo inaweza kusababisha mkojo husichujwe vizuri ndio maana kwa wagonjwa wa Figo ni marufuku kutumia dawa hii labda kwa ruhusa ya wataalamu wa afya , kwa hiyo kwa wahusika ni vizuri kabisa kuzingatia hayo.

 

5. Matokeo ya dawa hii ya aspirin , kwa watumiaji wa dawa hii ya aspirin wanaweza kupata matokeo mbalimbali kama haya kuwepo kwa magonjwa ya Figo kwa watumiaji hali hii ikitokea ni kuacha dawa mara Moja,pia kuwepo kwa matatizo kwenye nefron yanaani kwenye mfumo mzima wa kuchuja mkojo kwa watumiaji wa dawa hii ya aspirin wakipata shida hiyo ni vizuri kabisa kuacha dawa hiyo,pia Kuna uwezekano wa kusikia kwa shida, kichefuchefu na kutapika, na Pia kwa matumizi ya dawa mda mrefu usaidia kuzuia kubalance kiwango cha asidi na base mwilini.

 

6.kwa sababu dawa hii huwa inapunguza maumivu Kuna wakati mwingine ikitumiwa sana na mgonjwa anaweza kuwa na homa sana kwa sababu ya kuharibika au kuvurugika kwa sehemu mbalimbali kama vile Figona ini homa inaweze pia kuongeza hali ya kuharibika kwa mifumo mingine ya mwili ambayo Kwa kitaamu huiitwa metabolic rate kitendo cha kuharibika kwa metabolic rate  au kuongezeka kwa metabolic rate usababisha kuwepo kwa virusi kwenye ini na kusababisha maambukizi kwenye ini kwa hiyo wenye magonjwa ya ini na Figo wasitumie dawa hii ila kwa ushauri wa wataalamu wa afya.

 

7. Dawa hii huwa kwenye mfumo wa vidonge na umezwa kwa kutumia maji na baada ya kula kushiba kwa sababu ikimezwa bila kushiba uweza kusababisha vidonda vya tumbo hasa kwa watumiaji wa mda mrefu na milligrams ambazo zinatumika ni kiasi cha 300  milligrams mpaka mia tisa milligrams kwa masaa masaa sita, na maximum dozi ni 4kilogram hii dozi , pia dozi upangwa kwa kadri ya uzito, umri wa kila mgonjwa kwa hiyo ni vizuri kutumia dawa hii kwa kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya.

 

8. Kwa sababu dawa hii Ina matokeo mengi kwa wagonjwa ambao wanatumia pia ambao hawapaswi kutumia ni wengi kama vile wenye vidonda vya tumbo, wenyewe athma , akina Mama wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka kumi na sita,wenye magonjwa ya Figo, magonjwa ya nefron, wenye magonjwa ya ini, kwa hiyo dawa hii isitumiwe kiholela holela kwa sababu Ina madhart mengi katika matumizi na inaweza kuleta matatizo mengine zaidi ni vizuri kupata ushauri wa wataalamu wa afya katika matumizi ya dawa hii.

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 936


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi
Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi. Soma Zaidi...

Fahamu dawa zinazopunguza maumivu
Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu. Soma Zaidi...

Dawa mbadala za vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini
Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin. Soma Zaidi...

Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.
Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya pyrantel pamoate
Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo. Soma Zaidi...

Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide
Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu kundi la diuretics
Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo. Soma Zaidi...

Dawa ya kutibu fangasi wa kwenye mdomo na kinywa
Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana. Soma Zaidi...