image

Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.

Fahamu dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu.

1.kwa sababu dawa hii utumika katika kutukiza maumivu, Kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu mbalimbali,watu hao ni wake wenye matatizo katika ini, matatizo ya Figo na wale waliokunywa pombe hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu haiendani na pombe, pia mtu akiitumia na akatapika ndani ya nusu saa anapaswa kutumia dawa nyingine kama Ile dozi ya kwanza , kwa sababu dawa hiyo inakuwa haijafanya kazi.

 

2. Matokeo ya dawa hii baada ya kutumia, kwa watumiaji wa dawa hii ya paracetamol wanaweza kupata tatizo la kuharibika kwa ini hasa hasa kwa wale waliokunywa dawa nyingi au wanaotumia dawa hii mara kwa mara, hasa wale akina dada ambao Wana matatizo ya kuumwa tumbo kila mwezi na kila siku wanatumia dawa za Panadol na na wakija kumaliza siku za hedhi wanakuwa wametumia dawa nyingi vipi kwa mwezi watatumia dawa kiasi gani kwa hiyo wako katika hatari ya kupata maambukizi kwenye ini.

 

3. Dawa hii inawezekana kutumiwa kwa njia ya mdomo kwa sababu ipo kwenye vidonge na pia iko kwenye majimaji ambayo utumiwa na watoto wadogo na sasa hivi zimeletwa paracetamol za kwenye njia ya mishipa nazo pia zinatumika sana kwa watoto na watu wazima wanatumia vidonge.

 

4. Kwa watumiaji wa dawa kwa njia ya mdomo vidonge hivi huwa na kilogramu sifuri nukta tano mpaka kilogramu moja kwa masaa sita na maximum ni kilogramu nne. Watoto wenye miezi miwili wanatumia milligrams sitini kwa waliomaliza chanjo na yenyewe inatumika kwa masaa sita.

 

5. Na pia watoto kuanzia miezi mitatu mpaka mwaka mmoja wanatumia milligrams kuanzia sitini mpaka mia moja ishirini, miaka mmoja mpaka miaka mitano utumia milligrams kuanzia mia ishirini mpaka mia mbili hamsini, miaka sita mpaka kumi na mbili utumia miligramu kuanzia mia mbili hamsini mpaka mia tano dozi zote hizi zinabidi kutumiwa kuanzia masaa manne mpaka masaa sita. Pia kwa upande wa syrup inabidi kutikisa kabla ya kutumia.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 654


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Vyakula vya wanga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya wanga Soma Zaidi...

Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)
Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k Soma Zaidi...

Fahamu Dawa itwayo Diazepam
Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya parental Artusnate dawa ya kutibu malaria sugu
Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye. Soma Zaidi...

Dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya Prednisone katika kupambana na aleji
Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji. Soma Zaidi...

Fahamau madhara ya flagyl (Metronidazole)
Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu kundi la diuretics
Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo. Soma Zaidi...

Dawa za kutibu kiungulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya kaoline
Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide. Soma Zaidi...

Dawa za maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za maumivu ya jino Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya streptomycin
Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa. Soma Zaidi...