Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.
1.kwa sababu dawa hii utumika katika kutukiza maumivu, Kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu mbalimbali,watu hao ni wake wenye matatizo katika ini, matatizo ya Figo na wale waliokunywa pombe hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu haiendani na pombe, pia mtu akiitumia na akatapika ndani ya nusu saa anapaswa kutumia dawa nyingine kama Ile dozi ya kwanza , kwa sababu dawa hiyo inakuwa haijafanya kazi.
2. Matokeo ya dawa hii baada ya kutumia, kwa watumiaji wa dawa hii ya paracetamol wanaweza kupata tatizo la kuharibika kwa ini hasa hasa kwa wale waliokunywa dawa nyingi au wanaotumia dawa hii mara kwa mara, hasa wale akina dada ambao Wana matatizo ya kuumwa tumbo kila mwezi na kila siku wanatumia dawa za Panadol na na wakija kumaliza siku za hedhi wanakuwa wametumia dawa nyingi vipi kwa mwezi watatumia dawa kiasi gani kwa hiyo wako katika hatari ya kupata maambukizi kwenye ini.
3. Dawa hii inawezekana kutumiwa kwa njia ya mdomo kwa sababu ipo kwenye vidonge na pia iko kwenye majimaji ambayo utumiwa na watoto wadogo na sasa hivi zimeletwa paracetamol za kwenye njia ya mishipa nazo pia zinatumika sana kwa watoto na watu wazima wanatumia vidonge.
4. Kwa watumiaji wa dawa kwa njia ya mdomo vidonge hivi huwa na kilogramu sifuri nukta tano mpaka kilogramu moja kwa masaa sita na maximum ni kilogramu nne. Watoto wenye miezi miwili wanatumia milligrams sitini kwa waliomaliza chanjo na yenyewe inatumika kwa masaa sita.
5. Na pia watoto kuanzia miezi mitatu mpaka mwaka mmoja wanatumia milligrams kuanzia sitini mpaka mia moja ishirini, miaka mmoja mpaka miaka mitano utumia milligrams kuanzia mia ishirini mpaka mia mbili hamsini, miaka sita mpaka kumi na mbili utumia miligramu kuanzia mia mbili hamsini mpaka mia tano dozi zote hizi zinabidi kutumiwa kuanzia masaa manne mpaka masaa sita. Pia kwa upande wa syrup inabidi kutikisa kabla ya kutumia.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.
Soma Zaidi...Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake, hii njia dawa umengenywa kwenye tumbo na kupitia kwenye utumbo mdogo na baadae kwenye damu,
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.
Soma Zaidi...