Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba.
Kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
1.Human Chorionic Gonadotropin (HCG) ni mojawapo ya homoni ambayo usaida kutambua kama kuna mimba kwa Mama au msichana yeyote mwenye uwezo wa kubeba mimba, homoni hii uonekane kwenye mkojo na kwenye damu kwa siku tofauti tofauti.
2. Pindi mwanamke anapobeba mimba hiyo homoni uwapo kwenye mkojo baada ya siku ya kumi na nne mimba inaweza kuonekana kwa hiyo hili kuweza kuiona mimba hii mkojo upelekwa kwenye kipimo na Mimba uweza kuonekana kwa kuwepo kwa human chorionic gonadotropin homoni kwenye mkojo, kwa hiyo kwenye mkojo panapaswa kutokuwepo na Maambukizi yoyote na protini inapaswa kutokuwepo kwa sababu kama kuna protini unaweza kusema kuna mimba kumbe hamna.
3.Na vile vile kwenye damu hii homoni ya human chorionic gonadotropin ipi ambapo inaweza kuonekana baada ya siku tisa mpaka kumi kama mtu ana mimba kwa hiyo na kwenye damu panapaswa kutokuwepo na Maambukizi yoyote kwa sababu yanaweza kufanya mimba isionekane au kuonekana kama imo huku Haimo.
4.Kwa hiyo kitu cha kujua wakati wa kupima mimba kwa kutumia mkojo au damu ili kuangalia human chorionic gonadotropin mtu anapaswa kutibu Magonjwa ambayo yanaleta maambukizi matokeo ya kuona mimba yskarenganishwa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 web hosting 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i
Soma Zaidi...Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Hatua za ukuwaji was mimba na dalili zake
Somo hili linakwenda kukuletea hatua za ukuaji mimba na dalili zake
Soma Zaidi...Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Mimba kutoka kabla ya umri wake
Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.
Soma Zaidi...Kwanini nikimaliza kufanya mapenzi na mume wangu anawashwa sana!!!!!
Habari DoktaNikuulize kituu?
Soma Zaidi...