Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba.
Kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
1.Human Chorionic Gonadotropin (HCG) ni mojawapo ya homoni ambayo usaida kutambua kama kuna mimba kwa Mama au msichana yeyote mwenye uwezo wa kubeba mimba, homoni hii uonekane kwenye mkojo na kwenye damu kwa siku tofauti tofauti.
2. Pindi mwanamke anapobeba mimba hiyo homoni uwapo kwenye mkojo baada ya siku ya kumi na nne mimba inaweza kuonekana kwa hiyo hili kuweza kuiona mimba hii mkojo upelekwa kwenye kipimo na Mimba uweza kuonekana kwa kuwepo kwa human chorionic gonadotropin homoni kwenye mkojo, kwa hiyo kwenye mkojo panapaswa kutokuwepo na Maambukizi yoyote na protini inapaswa kutokuwepo kwa sababu kama kuna protini unaweza kusema kuna mimba kumbe hamna.
3.Na vile vile kwenye damu hii homoni ya human chorionic gonadotropin ipi ambapo inaweza kuonekana baada ya siku tisa mpaka kumi kama mtu ana mimba kwa hiyo na kwenye damu panapaswa kutokuwepo na Maambukizi yoyote kwa sababu yanaweza kufanya mimba isionekane au kuonekana kama imo huku Haimo.
4.Kwa hiyo kitu cha kujua wakati wa kupima mimba kwa kutumia mkojo au damu ili kuangalia human chorionic gonadotropin mtu anapaswa kutibu Magonjwa ambayo yanaleta maambukizi matokeo ya kuona mimba yskarenganishwa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Soma Zaidi...Swali langi ni hiliMama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za kuweka vitu ukeni, tunajua kwa wakati huu kadri ya kukua kwa sayansi na teknolojia watu wanaendelea kugundua mbinu mbalimbali ili waweze kuwafurahisha wapenzi wao wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila n
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...