picha

Imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.

Imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi.

1. Kupata ugonjwa wa Ukimwi ndio mwisho wa maisha, ni Imani waliyonayo watu wengi na wengine wanakata tamaa wakijua kuwa hawataishi mda mrefu.

 

2.Tohara kwa wanaume unazuia maambukizi ya Ukimwi, hii si kweli

 

3.Ukimwi unatibika,hii si kweli Ukimwi bao mpaka saa hauna tiba ya kuponyesha kwa wale wanapenda kwa waganga wanajidanganya na kidai kuwa wameombewa hiyo si kweli.

 

4.Nikiwa na ugonjwa wa Ukimwi siruhusiwa kubeba mimba, hii si kweli Kuna njia zinazotumika na wakina Mama wengi wenye maambukizi na wamebeba mimba na watoto wao hawana maambukizi.

 

5. Mtoto hapaswi kunyonya pale anapozaliwa na Mama mwenye maambukizi, hiyo si kweli, mama anapaswa kumnyonyesha mtoto wake akiwa anafuata maagizo ya wataalamu,

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 1968

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 ai web app     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Upungufu wa vitamin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu

Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walio na majeraha ya macho.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha

Soma Zaidi...
Msaada kwa wenye tonsils

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Imani potofu juu ya chanjo.

Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia

Soma Zaidi...