Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.
Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango.
1.watu wengi wanaamini juwa njia za uzazi wa mpango ni kwa ajili ya wanawake kwa hiyo wanaume hawapaswi kuingilia ndoa maana unakuta wanawake ndio wanaenda kwenye uzazi wa mpango hali hiyo inamfanya mwanamke peke yake kupanga mwenyewe idadi ya watoto anaiwapenda bila kushirikisha mwanaume
2.Watu wanaamini kubwa uzazi wa mpango inapoteza hamu ya tendo la ndoa na hivyo Watu wengi wameacha kutumia kondomu uingiliana hivyo hivyo hivyo na kusababisha maambukizi ya virus vya ukimwi na Magonjwa ya ngono kwa sababu ya kuwepo kwa imani potofu.
3. Kuna wengine wanadhibiti kusema kwamba uzazi wa mpango usababisha ugumba kitu ambacho si kweli kwa sababu wapo watu wengi wametumia uzazi wa mpango na bado wanaendelea kupata watoto kwa kadiri wanavyotaka.
4. Kwamba kondomu inaweza kupotea kwenye via vya uzazi wa mama, hiki ni kitu ambacho hakiwezejani kwa sababu ukiangalia maumbile ya mama kondomu haiwezi kupotea kwa kiwango hicho .
5.Kuna wengine wanaamini kubwa njia za uzazi wa mpango zinaweza kuleta madhara makubwa na kusababisha vifo kwa akina Mama , ni sawa madhara yapo ila hayawezi kufikia kiasi cha kutoa uhai wa mama.
6.Njia za uzazi wa mpango usababisha kupata mtoto mfu kwa hiyo kupata mtoto mfu sio kwa sababu ya uzazi wa mpango bali ni sababu nyingine nyingi ambazo zinaweza kuchangia hilo sio kweli.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Madrasa kiganjani π2 web hosting π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 kitabu cha Simulizi π5 Kitau cha Fiqh π6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Sababu za za ugumba kwa Mwanaume
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
Soma Zaidi...TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO
KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...Tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Soma Zaidi...Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.
Soma Zaidi...Je ?kipimo kikionyesha misitar miwili mmoja hafifu mwingine umekolea ni mimba au sio
Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Γ’ΕΒΓ―ΒΈΒ hadi mwisho
Soma Zaidi...Mbinu za kupunguza Kichefuchefu
Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu.
Soma Zaidi...