IMANI POTOFU KWA MWANAMKE MWENYE MIMBA


image


Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.


Zifuatazo ni baadhi ya Imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba.

1. Mwanamke mwenye mimba hapaswi kutumia mayai.hii ni mojawapo ya Imani potofu ambazo ziko kwenye makabila mengi, kwa hiyo mwanamke anaruhusiwa kutumia mayai Ili apate protini ya kutosha kwa ajili yake na mtoto wake.

 

2. Mwanamke mwenye mimba hapaswi kufanya tendo la ndoa, hii si kweli katika hili,kwa hiyo mama anaruhusiwaa kufanya tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua. 

 

3. Mwanamke hapaswi kufanya kazi yoyote pale anapokuwa na mimba, hii si kweli na ni kuendekeza uvivu mkubwa sana, hakuna hasara yoyote kwa mwanamke akifanya kazi akiwa na mimba, labda kama  ana maagizo kutoka kwa daktari.

 

4. Mama hapaswi kusafiri akiwa na mimba.

Kuna makabila mengine uzuia wanawake wenye mimba kusafili, labda kama amebakiza siku chache kujifungua, Ila kama mimba Ina miezi mitatu au miezi ya mwanzoni mama anapaswa kusafili na hakuna tatizo lolote kama mama ni mzima anapaswa kusafiri

 

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    2 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    3 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli Soma Zaidi...

image Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi
Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote. Soma Zaidi...

image Utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa Soma Zaidi...

image Dawa ya chango na maumivu ya hedhi
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi Soma Zaidi...

image Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo. Soma Zaidi...

image Mbinu za kupunguza Magonjwa ya kuambukiza.
Posti hii inahusu zaidi mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza kiwango cha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa hiyo zifuatazo ni mbinu ambazo zinapaswa kutumika ili kupunguza kiwango cha magonjwa ya kuambukiza. Soma Zaidi...

image Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa kuporomoka kwa mapafu (pneumothorax)
Posti hii inazungumzia Ugonjwa wa mapafu ambao hujulikana Kama pafu lililoporomoka (Pneumothorax) hutokea wakati hewa inavuja kwenye nafasi kati ya mapafu yako na ukuta wa kifua. Hewa hii hutoka nje ya pafu lako. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na jeraha butu au la kupenya la kifua, taratibu fulani za matibabu zinazohusisha mapafu yako, au uharibifu kutokana na ugonjwa wa msingi wa mapafu. Au inaweza kutokea bila sababu dhahiri. Dalili kwa kawaida hujumuisha maumivu ya ghafla ya kifua na upungufu wa kupumua. Soma Zaidi...

image Vyakula vya madini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini Soma Zaidi...

image Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari. Soma Zaidi...