Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?
Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza
Swali:
👉Fungus ikiw kali inaxababixh dam kutok uken
Jibu:
âœï¸Kawaida fangasi hasababishi kutokwa na damu. Ila ndio endapo watasababisha michubuko yes damu inawwza kutoka.
âœï¸Mfano ni fangasi wa kwenye uke, ama kwenye mapimbu (korodani). Hawa wanaweza kusababisha majeraha madogo kwenye ngazi ama wakati wa kujikuna.
Swali:
👉Hvy fungus ikiixha dam haita toka na mzunguko wng wa hedhi utaendelea kama kawaida
Jibu:
âœï¸Endapo fangasi imeshambulia sana kwenye uke hata kuwa PID na kusababisha mvurugiko wa hedhi, hali hii inahitaji matibabu kwa ulazima.
âœï¸Punde fangasi itakapotibiwa mzunguko wa hedhi utarudi kawaida. Na hata kama kulikuwa na michubuko iliyosababisha damu itakoma.
Swali:
👉Na fungus uwa na madhara gan ikiwepo mda mref ktk mwili.
Jibu:
âœï¸Si kawaida kwa fangasi kusababisha kifo, ila ni haki ambayo inasumbuwa sana. Hizi ni chache tu ya athari zinazoweza kutokea: -
1. Kuharibu mzunguko wa hedhi
2. Maumivu, miwasho na harufu ukeni na kutokwa namajimaji zaidi.
3. Kama hawatatibiwa wanaweza kuathiri kizazi
Swali:
👉Ni nin nifnye ili niepukane na maambukiz ya fungus
Jibu:
âœï¸ Unaweza kuepukana na fangasi kwa kuchukuwa tahadhari juu ya namna ambavyo unaishi. Kwa mfano: -
1. Pata matibabu hakikisha umepata matibabu kutoka kituo cha afya ama kama ni duka la dawa iwe imepewa na daktari.
2. Hakikisha sehemu za siri zinabakia kavu muda mwingi, kwa kuvaa nguo zisizobana, kama joto kali punguza nguo kama upo faragha unaweza bakiwa na chache tu
3. Kama huwa unavaliana na mtu, ama unashea taulo, au sabuni wacha kabisa
4. Hakikisha mpenzi wako unamuamini na anakuamini, yaani kila mmoja asiwe namichepuko.
5. Usitumie kemikali kali ama sabuni Kali kusafisha uke usitumie kusafishaji chochite maalumu cha uke. Vyema kutumia zanuba za kawaida.
6. Hakikisha pedi unazitumia ni zaoamba na zinabakia kuwakavu, kama iimechafuka bariki nyingine kila baada ya muda kulingana na maelezo yake.
Swali:
👉Kupata miwaxho kwenye kitov ni ugonjwa na unaxababishwa na nini?
Jibu:
âœï¸Huwenda ni fangasi, hakikisha unatumia dawa za kutibu tatizo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 ai web app 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
NI WATU GANI WALIO HATARINI ZAIDI KUPATA UKIMWI?
Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye?
Soma Zaidi...Dalili za kifua kikuu kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu.
Soma Zaidi...Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?
je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Zijue hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo
Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.
Soma Zaidi...Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?
Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.
Soma Zaidi...Vyakula Vinavyoongeza Kinga ya Mwili.
Blogu hii inaangazia umuhimu wa lishe bora katika kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili. Tutajadili vyakula mahususi vyenye virutubisho muhimu, umuhimu wa vitamini na madini, pamoja na ukweli wa kisayansi kuhusu jinsi lishe inavyochangia afya yako kwa ujumla.
Soma Zaidi...