picha

Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?

Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza

Swali: 

👉Fungus ikiw kali inaxababixh dam kutok uken

 

Jibu: 

✍️Kawaida fangasi hasababishi kutokwa na damu.  Ila ndio endapo watasababisha michubuko yes damu inawwza kutoka. 

 

✍️Mfano ni fangasi wa kwenye uke,  ama kwenye mapimbu (korodani). Hawa wanaweza kusababisha majeraha madogo kwenye ngazi ama wakati wa kujikuna. 

 

Swali: 

👉Hvy fungus ikiixha dam haita toka na mzunguko wng wa hedhi utaendelea kama kawaida

 

Jibu: 

✍️Endapo fangasi imeshambulia sana kwenye uke hata kuwa PID na kusababisha mvurugiko wa hedhi,  hali hii inahitaji matibabu kwa ulazima. 

 

✍️Punde fangasi itakapotibiwa mzunguko wa hedhi utarudi kawaida.  Na hata kama kulikuwa na michubuko iliyosababisha damu itakoma. 

 

Swali: 

👉Na fungus uwa na madhara gan ikiwepo mda mref ktk mwili. 

 

Jibu: 

✍️Si kawaida kwa fangasi kusababisha kifo,  ila ni haki ambayo inasumbuwa sana. Hizi ni chache tu ya athari zinazoweza kutokea: -

1. Kuharibu mzunguko wa hedhi
2. Maumivu,  miwasho na harufu ukeni na kutokwa namajimaji zaidi. 
3. Kama hawatatibiwa wanaweza kuathiri kizazi

 

Swali: 

👉Ni nin nifnye ili niepukane na maambukiz ya fungus

 

Jibu: 

✍️ Unaweza kuepukana na fangasi kwa kuchukuwa tahadhari juu ya namna ambavyo unaishi. Kwa mfano: -

1. Pata matibabu hakikisha umepata matibabu kutoka kituo cha afya ama kama ni duka la dawa iwe imepewa na daktari. 

2. Hakikisha sehemu za siri zinabakia kavu muda mwingi, kwa kuvaa nguo zisizobana,  kama joto kali punguza nguo kama upo faragha unaweza bakiwa na chache tu

3. Kama huwa unavaliana na mtu,  ama unashea taulo,  au sabuni wacha kabisa

4. Hakikisha mpenzi wako unamuamini na anakuamini, yaani kila mmoja asiwe namichepuko. 

5. Usitumie kemikali kali ama sabuni Kali kusafisha uke usitumie kusafishaji chochite maalumu cha uke.  Vyema kutumia zanuba za kawaida. 

6. Hakikisha pedi unazitumia ni zaoamba na zinabakia kuwakavu,  kama iimechafuka bariki nyingine kila baada ya muda kulingana na maelezo yake. 

 

Swali: 

👉Kupata miwaxho kwenye kitov ni ugonjwa na unaxababishwa na nini? 

 

Jibu: 

✍️Huwenda ni fangasi,  hakikisha unatumia dawa za kutibu tatizo. 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2673

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 web hosting     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara

postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb

Soma Zaidi...
KISUKARI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Inakuwaje unafanya ngono na aliyeathirika na usipate UKIMWI?

Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing

Soma Zaidi...
Dalili za upotevu wa kusikia

posti hii inazungumzia kuhusiana na Upotevu wa kusikia unaotokea hatua kwa hatua kadri umri unavyozeeka (presbycusis) ni jambo la kawaida. T Kwa wale walio na umri wa zaidi ya miaka 75, idadi ya watu walio na  upotezaji wa kusikia inakaribia 1 kati y

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Kiungulia na tiba zake kwa wajawazito.

Posti hii inahusu kiungulia kwa wanawake wajawazito na tiba yake, ni ugonjwa au hali inayowapata wajawazito walio wengi kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...