picha

Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?

Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza

Swali: 

👉Fungus ikiw kali inaxababixh dam kutok uken

 

Jibu: 

✍️Kawaida fangasi hasababishi kutokwa na damu.  Ila ndio endapo watasababisha michubuko yes damu inawwza kutoka. 

 

✍️Mfano ni fangasi wa kwenye uke,  ama kwenye mapimbu (korodani). Hawa wanaweza kusababisha majeraha madogo kwenye ngazi ama wakati wa kujikuna. 

 

Swali: 

👉Hvy fungus ikiixha dam haita toka na mzunguko wng wa hedhi utaendelea kama kawaida

 

Jibu: 

✍️Endapo fangasi imeshambulia sana kwenye uke hata kuwa PID na kusababisha mvurugiko wa hedhi,  hali hii inahitaji matibabu kwa ulazima. 

 

✍️Punde fangasi itakapotibiwa mzunguko wa hedhi utarudi kawaida.  Na hata kama kulikuwa na michubuko iliyosababisha damu itakoma. 

 

Swali: 

👉Na fungus uwa na madhara gan ikiwepo mda mref ktk mwili. 

 

Jibu: 

✍️Si kawaida kwa fangasi kusababisha kifo,  ila ni haki ambayo inasumbuwa sana. Hizi ni chache tu ya athari zinazoweza kutokea: -

1. Kuharibu mzunguko wa hedhi
2. Maumivu,  miwasho na harufu ukeni na kutokwa namajimaji zaidi. 
3. Kama hawatatibiwa wanaweza kuathiri kizazi

 

Swali: 

👉Ni nin nifnye ili niepukane na maambukiz ya fungus

 

Jibu: 

✍️ Unaweza kuepukana na fangasi kwa kuchukuwa tahadhari juu ya namna ambavyo unaishi. Kwa mfano: -

1. Pata matibabu hakikisha umepata matibabu kutoka kituo cha afya ama kama ni duka la dawa iwe imepewa na daktari. 

2. Hakikisha sehemu za siri zinabakia kavu muda mwingi, kwa kuvaa nguo zisizobana,  kama joto kali punguza nguo kama upo faragha unaweza bakiwa na chache tu

3. Kama huwa unavaliana na mtu,  ama unashea taulo,  au sabuni wacha kabisa

4. Hakikisha mpenzi wako unamuamini na anakuamini, yaani kila mmoja asiwe namichepuko. 

5. Usitumie kemikali kali ama sabuni Kali kusafisha uke usitumie kusafishaji chochite maalumu cha uke.  Vyema kutumia zanuba za kawaida. 

6. Hakikisha pedi unazitumia ni zaoamba na zinabakia kuwakavu,  kama iimechafuka bariki nyingine kila baada ya muda kulingana na maelezo yake. 

 

Swali: 

👉Kupata miwaxho kwenye kitov ni ugonjwa na unaxababishwa na nini? 

 

Jibu: 

✍️Huwenda ni fangasi,  hakikisha unatumia dawa za kutibu tatizo. 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3030

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 ai web app     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Njia za kufanya ukiwa na tatizo la uti wa mgongo.

Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo.

Soma Zaidi...
Dalili kwa mtu anayeharisha

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu.

Soma Zaidi...
tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.

Soma Zaidi...
Kazi ya mwanasaikolojia na daktari wa magonjwa ya akili.

Unapokutana na changamoto za afya ya akili, ni rahisi kuchanganyikiwa kuhusu ni nani unayepaswa kumuona kati ya mwanasaikolojia na daktari wa magonjwa ya akili. Ingawa wote wanasaidia kuboresha afya ya akili, taaluma zao, mifumo yao ya mafunzo, na mbinu zao za matibabu ni tofauti kabisa. Makala haya yanachambua majukumu ya kila mmoja ili ujue wapi pa kupata msaada sahihi.

Soma Zaidi...
Dawa za kupunguza uzito: Je, zina faida au madhara?

Dawa za Kupunguza Uzito: Je, Zina Faida au Madhara? Mwongozo wa Kitaalamu

Soma Zaidi...
Njia za jumla za kujikinga na magonjwa mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kujikinga na magonjwa, kwa kawaida tunajua wazi kuwa magonjwa yapo na yanasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na mengine hayasambai yanaweza kumpata mtu mmoja akapona au magonjwa mengine si ya kupona

Soma Zaidi...