image

Je waislamu walishindwa vita vya Uhudi?

Katika vita vya Uhudi waislamu walikufa wengi kulinganisha na makafiri. Lakini makafiri walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa. Je ni nanibalishindwa vita vya Uhudi kati ya waislamu na makafiri?

Vita vya Uhudi hatuwezi sema waislamu walishindwa kwa sababu makafiri ndio walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa nguvu na waislamu pale ealipoubgana tena.

Waislamu walikufa wengi kwa idadi ya watu 70 na makafiri 35.hata hivyo ukiangalia kwa uwiano wa jeshi waislamu walikuwa 700 na makafiri walikuwa 3000 sawa na kusema muislamubmmoja amepigana na makafiri 4 ukikokotoa hapo kwa uwiano huo makafiri waliokufa ni wengi.

Turudi kwenye swali ka msingi. Sababu zilizopelekea waislamu kushindwa nguvu baada ya kuwadhibiti makafiri ni kutomtii Mtumishi.

Kabla ya vita Mtume Muhammad SAW aliwateuwa watu 50 kukaa juu ya mlima kulinda wengine. Na akawaambia msishuke bila ya kuambiwa hata kama tutashindwa ama tutashinda. Lakini walipoona waislamuvwameshinda watu 43 walishuka na hapo khalid bin walid akawauwa wale waliobaki na kuhamia jeshi la waislamu kwa

Hapo waislamu wakaanza jugawanyika na kupigwa vibaya. Baadaye wakajikusanya na kuunda nguvuvmpya wakarudisha mapambano na makafiri wakashindwa na kukimbia.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 574


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Kifo cha Khalia Uthman kilivyotokea
Soma Zaidi...

Sifa au vigezo vya dini sahihi
Dini sahihi anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Upinzani Dhidi ya Dola ya Kiislamu Wakati wa Makhalifa
Soma Zaidi...

tarekh 10
KULELEWA NA BABA YAKE MDOGOBaada ya kufariki kwa mzee huyu, kiongozi mkubwa wa maquraysh na makkah, kiongozi ambaye jeshi la Abrah liliangamizwa ndani ya utawala wake. Soma Zaidi...

Mjadala juu ya ndoa ya Mtume Muhammad s.a.w na bi Khadija.
Sara na historia ya Mtume Muhammad s.a.w sehemu ya 16. Hapa utajifunza maandalizi wa mjadala wa ndoa hizi. Soma Zaidi...

Msafara wa vita vya Tabuk Dhidi ya Warumi
Ukombozi wa mji wa Makka (Fat-h Makka) mwaka 8 A. Soma Zaidi...

Yunus(a.s) Kulingania Uislamu kwa Watu Wake
Nabii Yunus(a. Soma Zaidi...

Muhutasari wa sifa za wanafiki
Kwa kuzingatia aya zote tulizozipitia juu ya wanafikitunaweza kutoa majumuisho ya sifa za wanafiki kama ifuatavyo:- (1)Hutenda kinyume cha imani wanaodai kuwa nayo. Soma Zaidi...

Chanzo cha Mapato katika serekali ya Kiislamu wakati wa Makhalifa
Soma Zaidi...

Malezi ya mtume
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Allah(s.w) Amnusuru Ibrahim (a.s) na Hila za Makafiri
Pamoja na kudhihirikiwa na ukweli wa udhaifu wa miungu wa kisanamu, watu wa NabiiIbrahiim(a. Soma Zaidi...

Kusilimu kwa Wachawi wa Firaun
Mawaziri waliokuwa washauri wakuu wa Firauni wakataka wakusanywe magwiji waliobobea katika uchawi nchi nzima, kisha wapambanishwe na Nabii Musa(as). Soma Zaidi...