Navigation Menu



Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?

Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.

Jua huzunguka kwenye mhimili wake mara moja katika takriban siku 27. ... Kwa kuwa Jua ni mpira wa gesi/plasma, si lazima lizunguke kwa uthabiti kama sayari na miezi dhabiti. Kwa kweli, maeneo ya Ikweta ya Jua huzunguka kwa kasi (kuchukua siku 24 tu) kuliko maeneo ya polar (ambayo huzunguka mara moja kwa zaidi ya siku 30).

 

Ugunduzi huu ulikuwepo toka miaka ya 1600 AD na Mwanafizikia aliyefahamika kwa jina la Galileo Galilei. Ugunduzi huu unamaanisha kuwa Jua linafanya rotation na pia lina revolution kuzunguka centre of galaxy.

 

Galileo Galilei alikuwa mtaalamu wa fizikia, hisabati na astronomia kutoka nchini Italia. Anakumbukwa kwa sababu aliweka misingi ya mbinu mpya za sayansi zinazoendelea kutumika hadi leo. Wikipedia

Tarehe ya kuzaliwa: 15 Februari 1564

Mahali alikozaliwaPisa, Italia

Alikufa: 8 Januari 1642, Arcetri, Italia

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 777


Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 kitabu cha Simulizi     ๐Ÿ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio     ๐Ÿ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     ๐Ÿ‘‰4 Kitau cha Fiqh     ๐Ÿ‘‰5 Madrasa kiganjani     ๐Ÿ‘‰6 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

HUYU NDIYE MUUMINI WA KWELI KATIKA UISLAMU
ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ุญูŽู…ู’ุฒูŽุฉูŽ ุฃูŽู†ูŽุณู ุจู’ู†ู ู…ูŽุงู„ููƒู ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ู ุฎูŽุงุฏูู…ู ุฑูŽุณููˆู„ู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆ ุณู„ู… ุนูŽู†ู’ ุงู„ู†ูŽู‘ุจููŠูู‘ ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ?... Soma Zaidi...

Majina ya vijana wa pangoni
Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni Soma Zaidi...

viapo
20. Soma Zaidi...

Husimamisha swala
Husimamisha swala katika maisha yao yote. Soma Zaidi...

jamii
Soma Zaidi...

nini maana ya Unafiki na sifa za unafiki katika quran na sunnah
Mnafiki ni yule anayeukubaliย Uislamu mdomoni (kwa kauli tu) lakini moyoni mwake na katika matendo yake anaukanusha. Soma Zaidi...

Madhara ya matusi katika jamii, na Kujiepusha na Matusi
15. Soma Zaidi...

Elimu
Uwanja wa elimu na maarifa Soma Zaidi...

ZOEZI
Zoezi laย 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria. Soma Zaidi...

quran na sayansi
QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh. Soma Zaidi...