image

Jinsi ya kushusha homoni za kiume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.

Jinsi ya kushusha homoni za kiume.

1. Kuna wakati mwingine watoto wa kike huwa na homoni za kiume zinakuwa nyingi hali ambayo Usababisha kuwepo kwa kuota ndevu kwa baadhi ya wasichana na kuwa na baadhi ya tabia za kiume kwa hiyo homoni hizi zikizidi kwa wasichana zinaweza kusababisha mambo mbalimbali ambayo ni pamoja na kukosa kuingia kwenye hedhi ili kuweza kushusha mbegu hizo tunapaswa kufanya yafuatayo.

 

2. Matumizi ya soya.

Kwa kutumia soya usaidia kushusha homoni za kiume kwa wasichana na kuwa kweye hali yao ya kawaida kwa hiyo ni vizuri kujua namna ya kutumia unaweza kutumia unga wake na kuweka kwenye maji na kunywa kikombe kimoja kwa asubuhi, kikombe kingine mchana na jioni, kwa matumizi ya soya homoni hizi nitaweza kushika na dada akawa kwenye hali yake ya kawaida.

 

3. Matumizi ya mnara ( mint)

Ni mmea mzuri kwa matumizi ya kushusha homoni za kiume kwa wasichana, mmea huu kwa Tanzania upatikana kwenye mikoa ya pwani kwa hiyo kwa wake wenye changamoto hii ni vizuri kabisa kuweza kutumia mmea huu.

 

4. Matumizi ya mizizi ya Arkisus.

Ni mizizi ambayo utumika ili kuweza kushusha homoni za kiume kwa wasichana, kwa matumizi ya mizizi hii,ni kuchimbua mizizi, kuosha vizuri, kutwanga na kuitengeneza ikawa kama unga na kuweka kwenye maji ya moto na kunywa Kikombe kimoja asubuhi, mchana jioni.

 

5. Tumia sana mafuta ya mimea kuliko mafuta ya wanyama.

Kwa matumizi mazuri ya mafuta ya mimea kama vile mawese, mafuta ya alizeti na Nazi mafuta haya ni mazuri pia usaidia katika kupunguza homoni za kiume kwa wasichana.

 

6. Punguza matumizi ya vyakula vya wanga.

Kwa kawaida na vyakula vya wanga siyo vizuri kwa watoto wa kike katika kuvitumia mara Kwa mara  mara nyingi watoto wa kike wanapaswa kutumia matunda zaidi, mboga za majani na samaki Ili kuweza kupunguza homoni za kiume na kuwepo za kawaida za kike.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1887


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Ni ipi siku ya kupata ujauzito, na nitajuwaje kama nimepata ujauzito?
Hapa utajifunza siku nzuri kushoriki tendo la ndoa kupata ujauzito, dalili za siku hiyo na kuitafuta kwa mahesabu Soma Zaidi...

Signs and symptoms of pregnancy.
In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by mi Soma Zaidi...

kunauwezekano wa darri ya kchefuchefu ictokee kabsa kwa mjauzito
Kichefuchefu ni moja katika dalili za mimba za mapema, Lucinda je upo uwezekano kwa mwanamke kuwa na ujauzito bila hata ya kuwa na kichefuchefu? Soma Zaidi...

Nini husababisha maumivu ya uume
Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili. Soma Zaidi...

Njia za kuondoa fangasi sehemu za siri
Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume Soma Zaidi...

Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...

mambo ambayo utaulizwa mama mjamzito ukifika kituo cha afya unatakiwa utoe majibu sahihi.
Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Nataka nijue siku ya kubeba mimba mwanamke
Soma Zaidi...

Je, wajua sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti kwa wanawake?
Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv Soma Zaidi...

Nimemaliza heddhi mwezi huu lkni najihisi tena dalili zakublidi wiki nzima hii kwann?
Soma Zaidi...

Fahamu matatizo yanayowapata watoto waliozaliwa kabla ya wakati au mapema (premature)
Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40. Soma Zaidi...

Mwenye ujauzito wa wiki moja na ana u.t.i anaweza kutumia dawa za aina gani ambozo zitakua salama kwa kiumbe kilichoanza kukua?
Ujauzito unaweza kutoka kwa sababu nyingi kama maradhi, madawa, vyakula na ajali. Unawezakutoa mimba bila kujuwa amakwakujuwa. Damu kutoka ni moja ya dalili za kutoka kwa mimba hata hivyo maumivu ya tumbo huweza kuandamana na damu hii. Soma Zaidi...