Njia za kutoa pesa ClipClaps
Ni Jambo jema Tena Leo kujifunza jinsi kutoa pesa na zikufikie kwenye akaunti yako
Mala kadhaa hujitokeza changamoto kwenye majukwaa ambayo tunatumia kujiingizia kipato na yote hayo husababisha na kutojua kwa kina namna jukwa Hilo linavyofanya kazi
Pia hii husababisha na sisi wenye kufanya Jambo bila kuwa na taalifa za kujitoshereza
Na kwasababu hiyo Sasa watu wengi wamepata hasala kubwa kwani wemekuwa wakiwekeza nguvu zao wakiamini mbeleni Kuna matunda . Ni kweri lakini hata unapofika wakati wa kuyachuma hukutana na vikazo vingi hivyo hushindwa kufikia lengo.
Hii ndiyo sababu imrnifanya kuandika makala hii ambayo itakufundisha jinsi ya kutoa pesa ClipClaps..
ClipClaps no jukwaa ambalo kwasasa linafanya vizuri na mm ni moja ya watumiaji na mashuhuda juu ya jukwaa Hilo
JINSI YA KUTOA PESA
Hili ni Jambo ambalo wengi wanatamani kukujua hivyo Basi twende kwenye mada husika
Kwa wale ambao hawana Akaunti na wanaitaji kujifunza jinsi ya kuitumia ingia www.funzoapp.com/
Utakutana na makala itakayokupa mwanga..kwa Leo tutajifunza jinsi ya kutoa pesa.
1. Hatua ya kwanza ingia kwenye app yako
Na hakikisha umeshatengeneza pesa ambazo hazipungui $10
Kama una poitnti hujazibadili kuwa dollar Basi zibadirishe kwanza
Baada ya kuzibadilisha Sasa kwenye dashboard yako utakuwa unaona kiasi Cha pesa bacho unacho Kama kinagika $10 unaweza ukatoa.
2. Hatua ya piri kwenye dashboard yako bonyeza kwenye dollars zako itafunguka ukulasa wa kutoa pesa ambapo utakutabkuna sehemu mbiri yakwanza upande wa kushoto ni PayPal. upande wa kulia utakouta other bonyeza hapo.
3. Hatua ya tatu ukishabonyea other itafunguka na utakutana Tena na sehemu mbiri changua ya kwanza bayo no mobile recharge bonyeza hapo.
4. Hatua inayofata baada ya kufungua itakuretea ukulasa wa kujaza ili ilipwe sehemu ya kwanza utachangua kod ya taifa lako kwa Tanzania ni tz 255
Sehemu ya piri utatakiwa uchangie mtandao utanitumia
Sehemu ya tatu utawela namba ya simu bila kuanza na 0 yaani mfano 71233562332
Chini kabisa utakutana na batani. CONFIRM
utabonyeza hiyo sehemu Itazungua kidogo na uta thibitisha..
Baada ya kuwa tayari umetuma taarifa zako utasubiri siku Nadi ya siku 7 za kazi pesa zako zitakuwa zimeingia kwenye simunyako uliyojaza.
Nimatumaini yangu Sasa kuwa tayari umejigunza jinsi ya kutoa pesa . Na Sina Shaka kuwa Sasa utakuwa na wasiwasi juu ya pesa zako ambazo umeshavuna
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 909
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 Kitau cha Fiqh
yanayoathiri betri ya kifaa chako
makala hii itakuelezea mambo makuu ambayo ni hatari kwa usalama wa betri ya kifaa chako Soma Zaidi...
Chanzo
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...
Nini Chanzo
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...
Njia za kujilinda na malware
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na malware Soma Zaidi...
JE NITUMIE SIMU YANGU WAKATI INACHAJI?
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza swali hili. Soma Zaidi...
KULINDA AKAUNT YAKO YA FACEBOOK DHIDI YA WAHALIFU WA KIMTANDAO
Watu wengi wanalalamika kuwa akaunti zao za facebook zimehakiwa, yaani zimeshambuliwa na wahalifu wa kimtandano. Soma Zaidi...
OCR
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...
Epuka malware (virus,work)ukiwa mtandaoni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuepuka malware ukiwa mtandaoni Soma Zaidi...
Chanzo
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...
Jinsi ya kufanya simu yako iwe fasta
Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufanya simu yako iwe fasta Soma Zaidi...
SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU
Kuna mambo mengi sana ambayo yanachangia simu yako kutokuwa na mtandao mzuri yaani network kuwa ndogo. Soma Zaidi...
MUDA WA KUCHAJI SIMU YAKO AMA MUDA WA KUCHAJI BETRI YAKO
Wwatu wengi wamekuwa wakijiuliza ni muda gani hasa inapasa kuchaji simu, je nisubiri mpaka chaji iishe kabisa, ama nichaji ikiwa na asilimia ngap? Soma Zaidi...