Kazi ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.

Kazi za chanjo ya kifua kikuu.

1. Hii ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na pia uzuia maambukizi kwenye mfumo wa hewa kwa hiyo hii chanjo ni kwa ajili ya watoto wakizaliwa na sio kwa ajili ya watu wazima, hii ni Chanjo muhimu sana kwa sababu kifua kikuu kwa watoto ni ugonjwa wa hatari sana ambao usababisha makuzi ya watoto kurudi nyuma kwa hiyo sisi kwa pamoja tushirikiane na kuhakikisha kuwa mtoto amepata chanjo hii ya kifua kikuu na kumfanya mtoto haishi kwa furaha kama watoto wengine.na kuendelea kuwa na afya nzuri wakati wa makuzi ya mtoto.

 

2. Pamoja na chanjo hii kuzuia kifua kikuu pia uzuia na ukoma kwa watoto, tunajua kuwa ukoma ni ugonjwa ambao uharibifu sehemu mbalimbali za mwili kama vile kuondoa vidole na sehemu nyingine za mwili, kwa hiyo ugonjwa wa ukoma ni hatari sana kwenye jamii, Ili kuutokomeza tunapaswa kuwapatia watoto wetu chanjo ya kifua kikuu ambayo kwa kitaalamu huitwa BCG Ili kuweza kuepuka madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo chanjo hii hailatolewa kwa mtoto kwa hiyo elimu inabidi itolewe kwa wazazi kuhusu ugonjwa huu wa ukoma na madhara yake Ili kuweza kuwapa watu moyo wakufatilia chanjo ya kifua kikuuu.

 

3. Pamoja na faida nyingi za chanjo hii Kuna matokea mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo chanjo hii imetolewa kwa mtoto na matokea hayo udumu kwa mda mfupi tu kama vile maumivu sehemu ambapo mtoto amechomwa sindano,na pengine mtoto anaweza kupata kidogo kidogo ambacho kinalingana kama size ya kalamu ya risasi kwa hiyo hii sindano isipotolewa ipasavyo inaweza kusababisha madhara mengine makubwa kwenye mwili wa mtoto.

 

 4. Kwa hiyo tunaona madhara ambayo utokea iwapo mtoto hatapata chanjo hii kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa mtoto amepata chanjo ya kuzuia maambukizi ya kifua kikuu na ukoma Ili kuepuka madhara makubwa kwenye jamii nzima.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/12/16/Thursday - 09:52:14 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1400


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Namna ya kutoa huduma ya kwanza
Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Pumu, dalili zake na njia za kujilinda dhidi ya Pumu.
Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija Soma Zaidi...

Njia za kujikinga na UTI
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujikinga na UTI Soma Zaidi...

Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini. Soma Zaidi...

Namna ya kutumia vidonge vya ARV
Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi Soma Zaidi...

Makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu Soma Zaidi...

Kawaida Mtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha Soma Zaidi...

Umuhimu wa asidi iliyokwenye tumbo( kwa kitaalamu huitwa HCL)
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa asidi iliyo kwenye tumbo kwa kitaalamu huitwa HCL, ni asidi inayofanya kazi nyingi hasa wakati wa kumengenya chakula. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia Soma Zaidi...

Vyakula vya fati na mafuta
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta Soma Zaidi...

Huduma ya kanza kwa mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza ya mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo, ni Tiba ambayo utolewa kulingana na dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka Soma Zaidi...