image

Kazi ya homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.

Kazi ya homoni ya testosterone.

1. Hii homoni uzalishwa kwa kasi na na kuanza kutumika au kufanya kazi kipindi cha kuanza kubarehe ni tofauti na kwa msichana ambapo homoni inayomfanya msichana kuonekana alivyo uanza kufanya kazi pale anapotungwa mimba.

 

 

 

2. Homoni hii uimarisha misuli yote ya mwili ya mvulana.

Kwa kawaida mtoto wa kiume akianza kubarehe misuli yote ya mwili uweza kuimarika na kutanuka vizuri kwa hiyo kitendo hicho usababishwa na homoni ya testosterone.

 

 

 

3. Kuimarisha kiwango cha hisia za mwili.

Kwa sababu ya kuwepo kwa homoni hii ya testosterone usaidia kabisa kuongea hisia za mwili kwa sababu kama mvulana hajabarehe huwezi kuhisi au hawezi kuhisi hisia zozote za mwili wanaofanya wakati huo ni kwa sababu ya kuwepo kwa ulimbukeni kwa hiyo ni vizuri kabisa kutambua kwamba hisia hizo usababishwa na kuwepo kwa homoni ya testosterone.

 

 

 

 

4.pia homoni hii usaidia  kuimarisha kiwango cha kufanya tendo la ndoa.

Kwa sababu mtoto wa kiume akianza kubarehe ndipo huwa na hisia za kuanza kufanya tendo la ndoa kwa kufanya hivyo ni vizuri kabisa kutambua kwamba ni kazi ya homoni ya testosterone na wanaofanya kabla ya kubarehe ni uenda wazimu au kuigiza tu.

 

 

 

 

 

5. Kuimarisha uzito wa mifupa.

Kwa kawaida wakati wa kubarehe ukifika na mabadiliko uwapo mengi mwilini kwa kufanya hivyo usababishwa na homoni ya testosterone ambapo kifua kuongezeka sana na kusababisha mifupa kuimarika.

 

 

 

 

6. Kuratibisha uzalishaji wa seli hai za damu.

Pamoja na kufanya mambo ya mabadiliko kimwili kwa mtoto wa kiume pia usababisha kuwepo kwa uzalishaji wa kiwango cha juu cha seli hai za damu.

 

 

 

7. Kuratibisha uzalishaji wa mbegu za mwanaume.

Kwa kawaida mbegu za mwanaume uzalishwa mara nyingi na kwa wakati tofauti kwa hiyo ni vizuri kabisa kufahamu kwamba hiyo ni kazi ya homoni ya testosterone





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1776


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume
Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake Soma Zaidi...

Tofauti za ute kwa mwanamke
Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo. Soma Zaidi...

Maji ya Amniotic
Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.
Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo. Soma Zaidi...

Watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango
Post hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango, Ni watu ambao Wana matatizo mbalimbali endapo wakitumia wanaoweza kuleta madhara mbalimbali. Soma Zaidi...

Upungufu wa homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili. Soma Zaidi...

Zifahamu sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba. Soma Zaidi...

Mbinu za kupunguza Kichefuchefu
Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu. Soma Zaidi...

Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu. Soma Zaidi...

mambo HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) mambo yanayopelekea kujauzito kuwa hatarini kutoka
Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini. Soma Zaidi...

Dalili ya mimba ya wiki moja(1)
Mwanaume na mwanamke wanapo kutana na kujamiina kama mwanamke yupo kwenye ferlile process ni rahisi kupata mbimba. Sparm Zaid ya million moja huingia kwenye mfuko wa lakin sparm moja ndio huweza kuingia kwenye ovum(yai)lakin nyingine hubaki kwenye follopi Soma Zaidi...

Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo
Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi. Soma Zaidi...