Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini
KAZI ZA MADINI MWILINI
1. Madini hutumika kwa ajili ya kudhibiti kiwango cha majimaji kwenye mwili kama madini ya sodium au chumvi
2. Huhitajika madini kwa ajili ya utengenezwaji wa asidi mbalimbali kama asidi ya hydrocloric kama madini ya chloride na phpsphprus
3. Husaidia katika kudhibiti kiwangi cha uzalishaji wa tindikali mwilini kama tindikali ya hydrocloric kama madini ya chloride
4. Husaidia katika usafirishwaji wa taarifa kutoka sehemu moja ya mwili kwenda sehemu nyingine kama madini ya sodium na potassium
5. Husaidia katika ujongeaji wa mishipa kama madini ya sodium na cailcium
6. Madini huhitajika kwa ajili ya kuimarisha afya ya mifupa, misuli, mishipa, meno na moyo kama madini ya calcium na magnesium
7. Huhitajika madini kwa ajili ya kuganda kwa damu maeneo yenye majeraha kama madini ya calcium na phosphorus
8. Huhitajika madini kwa ajili ya kuimarisha mfumo wa kinga mwilini kama madini ya calcium
9. Huhitajika katika utengenezwaji wa hemoglobin chembechembe nyekundu za damu kama madini ya chuma
10. Huhitajika katika kutengeneza protini na genetics material, huhitajika katika utengenezwaji wa manii na ni muhimu katika mfumo wa uzalishaji kwa mfano madini ya zinc
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Uvimbe au mashambulizi ya bacteria kwenye utando laini uliopo tumboni ambao kitaalamu hujulikana Kama peritonitis.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini
Soma Zaidi...