KAZI YA PIRITON


image


Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.


1. Piriton ni mojawapo ya dawa ambayo utibu mzio  kama wa mafua, ufanya kazi kwa kumletea mtu yeyote mwenye mafua na kusababisha kupona kuweza kuendelea huku mgonjwa akiwa amesinzia na baadae kama siku tatu kama mta anatumia Piriton anapona na kuendelea na kazi zake za kawaida.

 

2.Hii dawa huwa ipo katika mfumo wa vidonge , ambapo kila kidonge huwa na  4mg. Kwa mtu anayetumia 4mg anatumia kwa masaa  sita au masa nane ukiwa na chakula au baada ya kuchukua chakula  kiwango cha kawaida kwa mtu kwa mzima kiwango cha kawaida ni 24 mg kwa mtu mzima.

 

3.Dozi ya mtoto utofautiana kulingana na umri wa mtoto  kuanzia mwaka mmoja mpaka miaka miwili  mtoto anatumia milligram moja kwa siku, kuanzia miaka miwili mpaka mitano mtoto anatumia milligram moja  kwa masaa manne mpaka sita  kiwango cha kawaida ni millgramasita kwa kawaida, kuanzia miaka sita mpaka kumi na miwili  mtoto anatumia milligram mbili kuanzia masaa manne mpaka sita kiwango cha kawaida ni milligram kumi na mbili.

 

4. Pamoja na matumizi ya kawaida sawa hii ya Piriton haitumiwi kwa baadhi ya wa watu kama vile watoto waliozaliwa wakiwa mjini, watoto wadogo waliozaliwa na wale walio na matatizo ya kifua hasa Asthma kwa hiyo tunapaswa kuwa makini  ili tusiweze kuleta madhara zaidi kwa hiyo wazazi na walezi wawe makini katika watoto wadogo wasije kupata matatizo mbalimbali.

 

5. Kuna matokeo mbalimbali yanayoweza kujitokeza katika kutumia dawa hizi kama vile kupata usingizi, kushusha presha, na pengine kama mgonjwa amepewa kwenye mishipa ya damu anaweza kupata maumivu kwenye sehemu aliyopitishiwa sindano, kwa hiyo tunajua kuwa Piriton usaidia kutibu aleji au mzio kwa hiyo tunapaswa kuitumia kwa maagizo ya daktari na wataalamu mbalimbali wa afya na tusitumie kiholela dawa hii bali tupate ushauri kabla ya kuitumia.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    3 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    5 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    6 Madrasa kiganjani    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Vyakula vya kupunguza presha ya kupanda
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula ambavyo vinaweza kupunguza presha ya kupanda Soma Zaidi...

image Huduma ya Kwanza kwa aliyepatwa na presha ya kupanda
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kupanda Soma Zaidi...

image Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa Damu kwenye moyo.
 Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili ya Ugonjwa wa ateri ya Coronary. Ugonjwa huu kawaida hufafanuliwa kama kufinya, shinikizo, uzito, kubana au maumivu kwenye kifua chako. Soma Zaidi...

image Fahamu Ugonjwa unaohusiana na kuzidi kwa joto mwilini (anhidrosis) ama heatshock
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza kuwa vigumu kutambua. Anhidrosis ya upole mara nyingi huenda bila kutambuliwa. Mambo mengi yanaweza kusababisha hali hiyo, ikiwa ni pamoja na Kiwewe cha ngozi na magonjwa na dawa fulani. Unaweza kurithi tezi za jasho au kuendeleza baadaye katika maisha. Soma Zaidi...

image Fahamu Ugonjwa wa misuli kuwa dhaifu.
hali ambayo misuli unayotumia kwa hotuba ni dhaifu au unapata shida kuidhibiti mara nyingi inaonyeshwa na usemi wa kufifia au polepole ambao unaweza kuwa mgumu kuelewa. Sababu za kawaida za Ugonjwa huu ni pamoja na matatizo ya mfumo wa neva (neurolojia) kama vile kiharusi, jeraha la ubongo, uvimbe wa ubongo, na hali zinazosababisha ulemavu wa uso au udhaifu wa ulimi au koo. Dawa fulani pia zinaweza kusababisha dysarthria. Soma Zaidi...

image Wajibu wa mjamzito katika utaratibu wa uleaji wa mimba
Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote. Soma Zaidi...

image Sababu za kuumwa na tumbo, chini ya kitomvu ama upande wa kulia
Post hii inakwenda kukutajia baadhi tu ya sababu zinazopelekea kuumwa na tumbo. Hali hizi zinawweza kuwapata watu wa jinsia zote katika umri wowote ule. Ijapokuwa nyingine si kwa wote ni kwa baadhi ya watu. hapa nitakuletea sababu 5 tu. Soma Zaidi...

image Njia za kukabiliana na presha ya kupanda/hypertension
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kupanda Soma Zaidi...

image Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Dawa ya maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukuletea dawa ya maumivu ya jino Soma Zaidi...