Kiwango cha juu cha Androgen

Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa.

Kiwango cha juu cha homoni ya Androgen.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa homoni hii ya androgen ni homoni ambayo imo kwa wanaume na inapaswa kuwa sawia kabisa Ili kuweza kufanya kazi zake vizuri, ila ikiongezeka inaweza kuleta madhara Katika udharishaji kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa aina hii ya homoni inakuwa sawa kabisa Ili kuweza kufanya kazi yake vizuri na kwa ufasaha kabisa, ila Kuna dalili mbalimbali zinaziweza kutokea ikiwa homoni hii imekuwepo kwa kiwango kikubwa kwenye mwili wa binadamu.

 

2. Kuwepo kwa vipele vyekundu na vyeusi vikiandamana na chunusi  hasa hasa usoni  na pia ngozi uonekana kuwa na mafuta mengi sana mwilini , kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizo ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya Ili kuweza kutoa ushauri na kumalizana na tatizo.

 

3. Hali hii ikitokea kwa mwanamke usababisha mwanamke kuota ndevu na vinyweleo vingi kwenye  mikono  na miguuni, kwa hiyo ndio maana unaweza kukuta akina Mama wenye ndevu na vinyweleo vingi kwenye mikono na miguuni na pia wengine wanakuwa na sauti ya kiume, hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa wingi wa homoni ya androgen ambayo inapaswa kuwa kwa mwanaume kwa wingi kuliko kwa mwanamke.

 

4. Kuwepo kwa nywele nyepesi .

Watu wengine unakuta nywele zao zinakuwa nyepesi kuliko kawaida kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha juu cha homoni ya estrogen.

 

,5. Kuwepo kwa ugumba.

Kwa sababu hii homoni inapaswa ku balanced Ili kuweza kuruhusu uzalishaji kutokea ila ikiwa juu uzalishaji unakuwa WA shida 

 

6. Kuwepo kwa uvimbe kwenye via vya uzazi.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na uvimbe kwenye via vya uzazi hali hii inasababishwa na kuwepo kwa kwa kiwango kikubwa cha homoni ya androgen.

 

7. Pamoja na Dalili zote hizi sio dalili zote ni kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha homoni ya androgen kwa hiyo vipimo ni muhimu kabisa.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1354

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Tabia za Ute wa siku za hatari kupata mimba au ovulation

Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua.

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya via vya uzazi kwa Mama mjamzito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Tatizo la muingiliano wa majimaji ya Amniotic au seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito.

posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot

Soma Zaidi...
Uume ukiwa unaingia na ukiwa ndani nahic maumivu Kama uke unawaka Moto tafadhali nishauri

Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha.

Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v

Soma Zaidi...
Nguzo kuu za umama katika umri wa kupata watoto na kulea watoto

Posti hii inahusu zaidi nguzo kuu za umama katika umri wa kujifungua na kulea watoto, ni kipindi ambacho mama anakuwa analea watoto kwa kawaida kadri ya makadirio kipindi hiki uanza kati ya miaka kumi na mitano mpaka arobaini kwa walio wengi na kinaweza k

Soma Zaidi...
Njia za kufanya ili kuepukana na tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...