Koo langu limekauka yaweza kuwa ni muadhirika?
kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo.
SWALI
Koo langu limekauka yaweza kuwa ni muadhirika?
JIBU:
Kuwa shwa na koo ni dalili ya maradhi na huweza pia aikawa sio maradhi. Watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa katika dalili za mwanzo za HIV ama UKIMWI ni kuwashwa na koo. Wengine wamekuwa wakiogopa sana pindi akiwashwa na koo baada ya kushiriki ngono zembe. Ha[pana hii sio sahihi. Kuwashwa na koo kunaweza kuwa hata sio jambo la kuhitaji uangalizi zaidi wa Daktari.
Sababu za kuwashwa na koo:-
1. Hali ya hewa kama kupata mavumbi
2. Mazingira kama kuwa katika mazingira ya mosho
3. Baridi kwa mfano aliyekula mbarafu ama juisi ya baridi sana anaweza kuwashwa na koo
4. maambukizi ya bakteria kwenye mfumo wa hewa
5. maambukizi ya Virusi kwenye mfumo wa hewa kama virusi vya Corona
6. Maambukizi ya virusi vinginevyo.
Je kuwashwa na koo ni dalili ya HIV na UKIMW?
Yes huweza ikawa i dalili ya maambukizi ya virusi vya HIV lendapo mtu alishiriki ngono zembe hivi karibuni na mtu aliyeathirika. Ama huwenda amepata virusi kwa njia nginginezo. Lakini itambulike kuwa katika daliki za mwanzo za HIV kuwashw akwa koo si sana kutokea. Hata hivyo hizi ni dalili tu zinaweza kuwa ni kitu kingine. Kinachotakiw ani kupata vipimo kwanza.
DALILI ZAMWANZO ZA HIV
1.kuvimba kwa tezi za kwenye makwapa, mapaja na shingo
2.Homa
3.Uchovu
4.Kuharisha
5.Kupungua uzito
6.Kikohozi
7.Pumzi kutoka kidogodogo
8.Mafua
DALILI ZA UKIMWI
1.kutokwa na jasho jingi wakati wa usiku
2.Kupata homa za mara kwa mara na kuhisi baridi
3.Kikohozi
4.Kushinwa kupumua vyema
5.Madoa madoa kwenye ulimi na mdomoni
6.Maumivu ya kichwa
7.Uchovu usiokuwa na sababu na usioisha
8.Kutokuona vyema
9.Kupungua uzito
10.Mapele na ukurutu kwenye ngozi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 ai web app 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Ugonjwa wa degedege na dalili zake
Ugonjwa wa degedege ni ugonjwa unaowapata sana watoto chini ya miaka mitano ingawa na watu wazima wanapatwa na ugonjwa huo
Soma Zaidi...Je, Fangasi Ukeni Huambukiza?
Maambukizi ya fangasi ukeni (Vaginal Thrush/Yeast Infection) ni changamoto inayowasumbua wanawake wengi, lakini bado kuna mkanganyiko mkubwa kuhusu jinsi ugonjwa huu unavyoenea. Makala haya yanachambua kiundani tabia ya fangasi hawa, kama wanaweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda mwingine, dalili zake, na ukweli wa kisayansi unaofuta dhana potofu zilizopo kwenye jamii.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Soma Zaidi...Zijue sababu za moyo kutanuka.
Posti hii inahusu zaidi sababu za moyo kutanuka, Kuna kipindi ambapo moyo utoka kwenye hali yake ya kawaida na kutanuka hali ambayo usababisha madhara kwa mwenye tatizo hilo, ila Kuna sababu ambazo usababisha moyo kutanuka kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?
Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana.
Soma Zaidi...Njia za kupambana na fangasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi
Soma Zaidi...