Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)..
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kuamini Vitabu Vya Mwenyezi Mungu (s.w)
- Vitabu vya Mwenyezi Mungu vilivyotajwa ndani ya Qur’an ni;
- Suhufi – aliteremshiwa Nabii Ibrahim (a.s) na Nabii Musa (a.s).
- Taurat – aliyoteremshiwa Nabii Musa (a.s)
- Zaburi – aliyoteremshiwa Nabii Daud (a.s)
- Injili – aliyoteremshiwa Nabii Isa (a.s) na
- Qur’an – aliyoteremshiwa Nabii au Mtume Muhammad (s.a.w).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitau cha Fiqh
👉1 web hosting 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
zijue Nguzo za uislamu, imani, ihsani pamoja na dalili za qiyama
عَنْ عُمَرَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَيْضًا قَالَ: " بَيْنَمَا نَحْنُ جُلُوسٌ عِنْدَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ذَاتَ يَوْمٍ، إذْ ?...
Soma Zaidi...NJIA ZA KUMJUA MWENYEZI MUNGU (S.W)
Zifuatazo ni njia nyingi za kumjua Mwenyezi Mungu (EDK form 2:dhana ya elimu katika uislamu)
Soma Zaidi...Sifa za waumini wa ukweli katika uislamu
Je unamjuwq ni nani muumini, na ni zipi sifa za muumini?
Soma Zaidi...