KUWEPO KWA MABONGE YA DAMU WAKATI WA HEDHI


image


Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.


Sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.

1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba damu wakati wa hedhi inapaswa kuwa ya kawaida na isiwe na aina yoyote ya mabonge lakini kuna wakati unafika ambapo damu wakt wa hedhi inakuja ikiwa nzito na yenye mabonge mabonge mengi, hali hii usababishwa na mambo yafuatayo .

 

2. Maambukizi kwenye via vya uzazi.

Kwenye via kama kuna Maambukizi hali hii utokea Maambukizi ha ya magonjwa ya ngono kama vile kaswende, kisonono na mengine kama hayo, na si Magonjwa ya ngono tu kuna maambukizi kwenye mlango wa kizazi nao pia usababisha damu kuja ikiwa nzito kwa hiyo kama hali hiyo ikitokea ni lazima kwenda kwenye vipimo ili kuangalia shida ni ipi na kutibiwa mara moja 

 

3.Kuwepo kwa uvimbe kwenye mfuko wa uzazi na kwenye ovari, kama kuna uvimbe wowote uweza kusababisha mabonge mabonge ya damu wakati wa hedhi kwa hiyo ni lazima kufanya vipimo vya kwenye mfumo wa uzazi na kwenye ovary ili kuweza kutambua tatizo lililopo kwa Mama au dada yeyote mwenye tatizo kama hili 

 

4.mabadiliko ya homoni.

Pengine utokea kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni ambazo zinahusika na kupandisha yai kutoka kwenye ovari, kuandaa mfuko wa uzazi, na kuaribu mfuko wa uzazi kama hakuna mimba katika hatua zote hizi kama kuna shida yoyote kwenye homoni na damu utoka kama mabonge mabonge na hali hii utokea mara chache inaweza kuwa kama miezi miwili na baadae uacha ila kama ni Maambukizi uendelea.

 

5.Kwa hiyo hali hii ikitokea mara kwa mara ni lazima kuchukua hatua za haraka ili kama ni Maambukizi yatibiwe mara moja ili kuzuia matatizo mengine kama vile utasa



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    4 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    5 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    6 Jifunze fiqh    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke Soma Zaidi...

image Dalili kwa mtu anayeharisha
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu. Soma Zaidi...

image Njia za kutibu mbegu dhaifu.
Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia. Soma Zaidi...

image Minyoo na athari zao kiafya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani
Posti hii inaonyesha dalili,Sababu,na namna ya kujikinga na ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani ambao kitaalamu hujulikana Kama orchitis. Soma Zaidi...

image Sababu za ugonjwa wa mkojo kuwa na damu
Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu. Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito. Soma Zaidi...

image Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.
Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo Soma Zaidi...

image Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba
Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara. Soma Zaidi...

image Umuhimu wa asidi iliyokwenye tumbo( kwa kitaalamu huitwa HCL)
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa asidi iliyo kwenye tumbo kwa kitaalamu huitwa HCL, ni asidi inayofanya kazi nyingi hasa wakati wa kumengenya chakula. Soma Zaidi...