Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.

Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

1. Hali hii uwakuta wanawake ila sio wote wengine maziwa utoka kidogo lakini wengine maziwa utoka mengi kwa hiyo maziwa yakitoka msijali ni kawaida tu kwa hiyo wakati wa ujauzito maziwa yakitoka fanya yafuatayo.

 

 

 

2. Usijikamue au kushika shika maziwa au matiti au chuchu kwa kufanya hivyo unakuwa unayashawishi yaendelea kutoka zaidi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini na kujitahidi kutoshika matiti, kukamua Chuchu.

 

 

 

 

 

3. Kwa kawaida ukipatwa na shida hiyo haipaswi kabisa kuvaa brezia zinazobaba au pia kuvaa nguo zinazokubana kwa sababu unaweza kuleta kishawishi cha kuendelea kuwepo kwa maziwa na wakati mwingine ukiwa umevaa maziwa yanaweza kupita kwenye nguo inayobana.

 

 

 

 

4. Ukiwa na mme au mpenzi yeyote yule mwambie kwamba asishike kwenye sehemu ya matiti ili kuepuka hali ya kusisimua na kusababisha maziwa kuendelea kutoka.

 

 

 

5. Pia kumbuka kutafuta brezia za wanaonyonyesha.

Kwa kawaida kuna brezia za akina mama wanaonyonyesha kwa sababu ni kubwa na zinaweza zisionyeshe hali au mwonekano wa matiti.

 

 

 

 

6. Kwa hiyo baada ya kufahamu kwamba kitendo cha kutokwa na maziwa wakati wa ujauzito ni kwamba ni kitendo cha kawaida kwa hiyo ni vizuri kabisa kuelimisha jamii kwa sababu wengine wanashika sana mila na desturi na kukuta vitu vya ajabu vinafanyika kwa hiyo wawaache akina mama wakae na maziwa yao kwani ni kawaida tu kutokwa na maziwa wakati wa ujauzito.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/07/14/Thursday - 08:59:45 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1643


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Mambo ya kuzingatia kwa mama ili apate huduma endelevu.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua. Soma Zaidi...

Kujaa gesi tumboni
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon Soma Zaidi...

Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa. Soma Zaidi...

Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili. Soma Zaidi...

Mimba iliyotunga nje
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya Soma Zaidi...

Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.
Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n Soma Zaidi...

Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba. Soma Zaidi...

Mishipa ya machozi kufunga kwa mtoto.
Posti inahusu nzaidi kufunga kwa mishipa ya machozi ya mtoto kwa kawaida mishipa ya mtoto inapaswa kufunguka baada ya mwaka mmoja lakini kwa wengine ubaki imefungwa hata baada ya mwaka mmoja na kusababisha madhara mbalimbali kwa mtoto. Soma Zaidi...

Ni vipi nitagundua kuwa nina ujauzito?
Hali ya ujauzito huanza kutabirika Mara tu ya kujamiana, pia chemikali (hormon) za mwili huanza mchakato wa kuongeza na kupunguza utendaji kazi wa kemikali hizo mfano.follical stimulating hormon (FSH) na lutenazing hormon kuivisha yai tayari kwa kutengen Soma Zaidi...

Dalili za mimba yenye uvimbe
Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa Soma Zaidi...

Huduma kwa mama mwenye kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba. Soma Zaidi...