Maadui wakubwa wa dola ya uislamu madinah
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Upinzani dhidi ya Dola ya Kiislamu Madinah.
- Maadui wakubwa wa Dola ya Kiislamu Madinah.
Kwa kipindi cha miaka 10 ya uongozi wa Mtume (s.a.w) maadui walioibuka kupambana na Dola ya Kiislamu walikuwa;
- Makafiri wa Kabila la Kiquraish.
- Wanafiki.
- Mayahudi
- Warumi (Wakristo).
- Makabila mengine ya Kiarabu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Madrasa kiganjani π2 ai web app π3 kitabu cha Simulizi π4 Kitabu cha Afya π5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π6 Kitau cha Fiqh
π1 Madrasa kiganjani π2 ai web app π3 kitabu cha Simulizi π4 Kitabu cha Afya π5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Kujengwa upya al Kabah baada ya kuwa na mipasuko.
Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w sehemu ya 18. Hapa utajifunza kuhusu tukio la kujengwa upya kwa al kaaba Γ°ΕΈβ’βΉ
Soma Zaidi...Msimamo wa Nabii Hud(a.s) Dhidi ya Makafiri wa Kaumu Yake
Pamoja na kwamba alipingwa na nguvu za Dola ya makafiri wa kaumu yake, Mtume Hud(a.
Soma Zaidi...Kifo cha Nabii Sulaiman
Pamoja na utukufu na umadhubuti wa ufalme wake Nabii Sulaiman muda wake wa kuishi ulipokwisha aliondoka kama walivyoondoka Mitume,wafalme na wanaadamu wengine.
Soma Zaidi...