Maadui wakubwa wa dola ya uislamu madinah
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Upinzani dhidi ya Dola ya Kiislamu Madinah.
- Maadui wakubwa wa Dola ya Kiislamu Madinah.
Kwa kipindi cha miaka 10 ya uongozi wa Mtume (s.a.w) maadui walioibuka kupambana na Dola ya Kiislamu walikuwa;
- Makafiri wa Kabila la Kiquraish.
- Wanafiki.
- Mayahudi
- Warumi (Wakristo).
- Makabila mengine ya Kiarabu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Simulizi za Hadithi Audio π2 Madrasa kiganjani π3 Kitabu cha Afya π4 kitabu cha Simulizi π5 Dua za Mitume na Manabii π6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
π1 Simulizi za Hadithi Audio π2 Madrasa kiganjani π3 Kitabu cha Afya π4 kitabu cha Simulizi π5 Dua za Mitume na Manabii π6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Kuangamia kwa Mtoto na Mke wa Nuhu(a.s)
Tukirejea Qurβan (11:36-48) na (23:26 -29) tunapata maelezo juu ya mchakato wa kuangamizwa makafiri na kuokolewa waumini katika kaumu ya Nabii Nuhu(a.
Soma Zaidi...Maana ya Funga ya ramadhani kisheria na Aina za funga
Amesema mtume (s.a.w) kuwa Allah (s.w) amesema: kila amali ya mwanaadamu ni kwa ajili yake isipokuwa funga.
Soma Zaidi...Chokochoko na Upinzani wakati wa khalifa uthman khalifa wa Tatu
KUPOROMOKA KWA DOLA YA KIISLAMU ALIYOICHA MTUME(S.
Soma Zaidi...