Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.
Dalili za maambukizi kwenye mrija wa mkojo
1. Maumivu makali wakati wa kujamiiana. Hii utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye mrija
2. Kutoka uchafu kwenye mrija wa mkojo. Kwa sababu ya maambukizi kwenye mrija ambapo bakteria waharibifu utafuna mazingira yaliyo kwenye mrija
3. Kikohoa damu mara kwa mara
4. Kuwasha katika sehemu za uume, inawezekana ikawa nje au ndani
5. Kikohoa sana, hasa utolewa wakati wa mwanzoni maambukizi yanapotokea.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Saratani ya Koo inarejelea Vivimbe vya Saratani vinavyotokea kwenye koo lako (koromeo), sanduku la sauti (larynx) au tonsils.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ
Soma Zaidi...Hivi umeshawahi kuwazakuwa jekipimo cha HIV ni sahihi kwa kiasi gani. Unadhani huwa kinakoseaga kutoa majibu?
Soma Zaidi...Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis C (HCV) hawana dalili. Kwa kweli, watu wengi hawajui kuwa wana maambukizi ya Hepatitis C hadi uharibifu wa ini
Soma Zaidi...Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.
Soma Zaidi...