picha

Maambukizi kwenye mrija wa mkojo(urethritis )

Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.

Dalili za maambukizi kwenye mrija wa mkojo

1. Maumivu makali wakati wa kujamiiana. Hii utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye mrija

 

2. Kutoka uchafu kwenye mrija wa mkojo. Kwa sababu ya maambukizi kwenye mrija ambapo bakteria waharibifu utafuna mazingira yaliyo kwenye mrija

 

3. Kikohoa damu mara kwa mara

 

4. Kuwasha katika sehemu za uume, inawezekana ikawa nje au ndani

 

5. Kikohoa sana, hasa utolewa wakati wa mwanzoni maambukizi yanapotokea.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1926

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰2 web hosting     πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰4 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Maisha ya ndoa na afya ya uzazi baada ya kujifungua.

​Kipindi cha baada ya kujifungua (postpartum period) ni awamu ya mabadiliko makubwa ya kimwili, kihisia, na kijamii kwa familia. Makala hii inachunguza kwa kina changamoto za kiafya ya uzazi, marejesho ya mahusiano ya ndoa, na mikakati ya kuboresha mawasiliano na afya ya akili. Lengo ni kuwapa wanandoa elimu ya kisayansi itakayowasaidia kuvuka kipindi hiki kwa ustawi wa familia nzima.

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI kwa Mtu Aliyeambukizwa Karibuni

Makala hii inaelezea hatua ya awali ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU), inayojulikana kama hatua ya maambukizi makali (acute HIV infection). Inafafanua dalili za kawaida zinazoweza kujitokeza wiki chache baada ya mtu kupata maambukizi, umuhimu wa kupima mapema, na kuondoa dhana potofu kuhusu dalili hizi.

Soma Zaidi...
Hedhi isiyo na mpangilio: Chanzo chake na nini cha kufanya?

​Mzunguko wa hedhi ni kiashiria muhimu sana cha afya ya mwanamke. Hata hivyo, wanawake wengi hukumbana na changamoto ya hedhi isiyo na mpangilio (irregular periods) katika kipindi fulani cha maisha yao. Makala hii inachambua kwa kina vyanzo vikuu vya kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kuanzia mabadiliko ya mtindo wa maisha hadi matatizo ya kiafya kama PCOS, na kutoa mwongozo wa hatua za kuchukua ili kurejesha usawa wa mwili wako.

Soma Zaidi...
Kuhusu HIV na UKIMWI

Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI

Soma Zaidi...
Je unaweza kupata ujauzito bila ya kupata hedhi miezi 9 baada ya kujifunguwa?

Baada ya kujifungua mwili wa mwanamke huwa na mabadiliko tofauti na siku za nyuma. Kwa mfano hatapatavtena hedhi, hatoweza kupata ujauzito kwa muda wa mwezi ama zaidi. Endelea na post hii ujifunze zaidi

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia ugonjwa wa kisonono

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo utumiwa Ili kuweza kuzuia kuwepo ugonjwa wa kisonono, kwa kufuata njia hizi ugonjwa huu wa kisonono unaweza kupungua kwa kiasi au kuisha kabisa.

Soma Zaidi...