picha

Maambukizi kwenye Tumbo na utumbo mdogo.

Posti hii inahusu Maambukizi kwenye tumbo na kwenye utumbo mdogo,ni Maambukizi ambayo uwa kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

1.kwanza kabisa utumbo mdogo na tumbo kama kuna Maambukizi mgonjwa uhisi kichefuchefu na hatimaye kutapika hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria au virusi ambao usababisha maambukizi.

 

2.Dalili nyingine ni pamoja na kuharisha hata kaharisha damu kama maambukizi ni makubwa mno kwa hiyo tunapaswa kugundua kubwa maambukizi kama ni makubwa mgonjwa anapaswa kufikishwa hospitalini mara moja.

 

3.Dalili nyingine ni pamoja na maumivu chini ya tumbo, haya Maumivu uendana na kusokotwa kwa tumbo hii hali inaweza kudumu kwa mda kama hakuna kupona au nafuu yoyote mgonjwa anapaswa kupelekwa hospitalini mara moja.

 

4.Dalili nyingine ni kutapika nyingo 

Hali hiii utokea pale mtu anapotapika na kumaliza kila kitu hatimaye anaweza kutapika hata nyongo kwa hiyo tunapaswa kuwahudumia mara moja wale wanaoonyesha dalili za hatari za kutapika.

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kufahamu kutapika na kuharisha ni hatari kwa mgonjwa hasa kwa watoto hali hii ikitokea mgonjwa anapaswa kupelekwa hospitalini mara moja ili kuepuka hali ya kuishiwa kwa maji kwa hiyo kuishiwa maji ni hali ya hatari kwa maisha ya mwanadamu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1816

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Dalili za kifua kikuu (tuberculosis)

Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis.

Soma Zaidi...
Saratani (cancer)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani

Soma Zaidi...
Dalili za mkojo mchafu na rangi za mkojo na mkojo mchafu

Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake

Soma Zaidi...
Dalilili za saratani ya utumbo

Saratani ya Utumbo ni Saratani ya utumbo mpana (koloni), sehemu ya chini ya mfumo wako wa usagaji chakula. Kwa pamoja, mara nyingi hujulikana kama Saratani ya utumbo mpana. Visa vingi vya Saratani ya utumbo mpana huanza

Soma Zaidi...
Yaani minasumbuliwa na mgongo kuuma pia kuchoka mgongo na homa zisizo isha

Maumivu ya mgongo yanaweza kuwa ni dalili inayoonyesha tatizo fulani la kiafya ikiwemo magonjwa au majeraha.

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara

postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb

Soma Zaidi...