Maambukizi kwenye uume
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye uume, maambukizi hata utokea kwenye kichwa Cha uume kwa kitaalamu huitwa Balanitis, zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa ugonjwa huu.
Sababu za kuwepo kwa maambukizi kwenye uume
1. Usababishwa na Maambukizi ya fungusi
Kama Kuna fungusi kwenye sehemu za Siri usababisha maambukizi kwenye uume.
2. Kemikali kwenye uume
3. Kukua sana kwa ngozi juu ya uume
4. Kuosha sana sehemu ya uume usababisha kuondoa bakteria
5. Kuosha uume kwa madawa
6. Kushindwa kukausha baada ya kuoga
7.misuguano
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 web hosting ๐2 Dua za Mitume na Manabii ๐3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐4 kitabu cha Simulizi ๐5 Kitau cha Fiqh ๐6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha: Kutokwa na damu kwa ndani.
Soma Zaidi...Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.
Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo
Soma Zaidi...Ishara za Mimba ya Mapema kwa Mara ya Kwanza
โKugundua ujauzito kwa mara ya kwanza kunaweza kuleta mchanganyiko wa hisiaโfuraha, msisimko, na wakati mwingine, sintofahamu. Post hii inaangazia ishara za kawaida za ujauzito ambazo mwanamke anaweza kuzihisi katika wiki za kwanza, ikimsaidia msomaji kutambua mabadiliko ya mwili wake kwa usahihi.
Soma Zaidi...Dalili za HIV na UKIMWI kwenye Ulimi na Mdomo
Dalili za HIV na UKIMWI kwenye mdomo na ulimi utaziomna hapa. hizi zinaweza kuwa ndio za kwanza kwa ambaye hajapima HIV
Soma Zaidi...Jinsi ya kujikinga na mafua (common cold)
Posti hii inazungumzia dalili na namna ya kujikinga tusipate mafua .mafua kwa jina lingine hujulikana Kama baridi ya kawaida (common cold).baridi ya kawaida husababishwa na virusi kwenye pua na hutoa makamasi.
Soma Zaidi...Madhara ya kula vyakula vya kukaanga mara kwa mara.
Chipsi, kuku wa kukaanga, mandazi, na sambusa ni vyakula vinavyopendwa na wengi kutokana na ladha yake na urahisi wa kupatikana. Hata hivyo, kukaanga chakula kwa mafuta mengi (deep-frying) hubadilisha muundo wa kemikali wa chakula hicho, na kukifanya kiwe na kalori nyingi sana, mafuta hatari, na kemikali zinazoweza kudhuru mwili wako kwa muda mrefu. Makala haya yanakupa mwongozo wa kwa nini unapaswa kupunguza tabia hii.
Soma Zaidi...