Posti hii inahusu athari za maambukizi ya magonjwa ya ngono ambapo magonjwa ya ngono isipokuwa UKIMWI yanatibika .mgonjwa anashauriwa kuwahi hospitali au kituo chochote cha afya kupata matibabu mara anapoona dalili za magonjwa haya.
ZIFUATAZO NI ATHARI ZA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA YA NGONO. 1. kutokana na mwanzo tulivyoeleza kwamba kuna athari zinazopelekea maambukizi ya magonjwa ya ngono katika jamii kuna athari ya kuziba kwa njia ya mkojo kwa mwanaume,na pia kuziba kwa mirija ya kupitishia mayai hivyo mimba kutunga nje ya mimba athari hizo usababisha ugonjwa unaitwa ,kisonono,
2.pia kuna huharibifu sehemu za ndani za mwili kama vile moyo na akili pia huweza kusababisha kifo kwa mwanadamu ambapo zunaweza kupoteza nguvu kazi ya taiga pia athari nyingine kunyonyoka nywele ugonjwa unaoleta athari hii ni kaswende ,
3.athari zingine pia kuna kudhoofika kwa mwili na kupungua kwa kinga ya mwili,na huweza kusababisha magonjwa nyemelezi na hatimaye kifo athari hii uletwa na ugonjwa wa UKIMWI
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona
Soma Zaidi...Fangasi hawa ni maarufu sana kwa mapunye ya kichwani ama kwenye ngozi mikononi ama miguuni.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifu
Soma Zaidi...Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kikohozi cha muda mrefu ni zaidi ya kero. Kikohozi cha muda mrefu kinaweza kuharibu usingizi wako na kukuacha unahisi uchovu. Matukio makali ya kikohozi cha muda mrefu yanaweza kusababisha kutapika, kizunguz
Soma Zaidi...Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.
Soma Zaidi...Uchovu wa joto ni hali ambayo dalili zake zinaweza kujumuisha kutokwa na jasho kubwa na mapigo ya haraka, ambayo ni matokeo ya joto la mwili wako. Ni mojawapo ya magonjwa matatu yanayohusiana na joto, huku tumbo la joto likiwa kali zaidi na Kihar
Soma Zaidi...