Maana ya hadathi na aina zake

Post hii inakwenda kukugundisha maana ya hadathi pamoja na kutaja aina za hadathi

Hadathi

Hadathi ni hali ambayo ikimpata Muislamu, hawezi kuswali mpaka imuondokee. Kuna aina tatu za hadath:

 


(i)Hadathi ndogo - kutokuwa na udhu. Mtu asiye na udhu ana hadathi ndogo na huondoka kwa kutia udhu.

 


(ii)Hadathi ya kati na kati - humpata mtu aliyefanya tendo la ndoa (jimai) au aliyetokwa na manii kwa kuota au kwa njia nyingineyo. Hadath hii huondoka kwa kukoga mwili mzima.

 


Hadathi kubwa - huwapata wanawake wanapokuwa katika Hedhi (damu ya mwezi) au katika Nifasi (damu ya uzazi). Huondoka kwa kuoga mwili mzima baada ya hedhi au nifasi kwisha.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/08/13/Saturday - 07:21:29 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1463

Post zifazofanana:-

Hadathi ya kati na kati
Posti hiibinakwenda kukufundisha kuhusu hadathi ya kati na kati. Soma Zaidi...

Fadhila za kujenga msikiti
Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah. Soma Zaidi...

Maana ya hadathi na aina zake
Post hii inakwenda kukugundisha maana ya hadathi pamoja na kutaja aina za hadathi Soma Zaidi...

Yaliyo haramu kwa mwenye hadathi kubwa.
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ya haramu kwa mwenye hadathi kubwa Soma Zaidi...

Haki za muislamu kwa muislamu mwenziwe
Hizi ndio haki kuu tano unazopasa kumpatia Muislamu mwenzio. Soma Zaidi...